IQNA

Wananchi wa Iran waomba dua ya ushindi wa wapiganaji wa Kiislamu

IQNA – Wananchi wa Iran, wakionyesha uungaji mkono wao kwa Mapinduzi ya Kiislamu, wameshiriki katika mijumuiko mbali mbali ya kuomba dua kwa ajili ya ushindi na kufanikiwa kwa wapiganaji wa Kiislamu.