IQNA

Mhuishaji wa Mazingira

Katika Qur’ani Tukufu ya Surah Al An-Aa’am, aya ya 95, Mwenyezi Mungu SWT anasema: "Hakika Mwenyezi Mungu ndiye mpasuaji mbegu na kokwa, zikachipua. Humtoa aliye hai kutoka maiti, naye ni mtoaji maiti kutokana na aliye hai. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu. Basi vipi mnageuzwa?"

Katika  Qur’ani Tukufu ya Surah Al An-Aa’am, aya ya 95, Mwenyezi Mungu SWT anasema:  "Hakika Mwenyezi Mungu ndiye mpasuaji mbegu na kokwa, zikachipua. Humtoa aliye hai kutoka maiti, naye ni mtoaji maiti kutokana na aliye hai. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu. Basi vipi mnageuzwa?"