Wapakistan waandamana kulaani jarida la Ufaransa lililomvunjia hehsima Mtume SAW
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelefu ya watu wameandamana kote Pakistan katika siku za hivi karibuni kulaani hatua ya jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo kuchapisha tena katoni zinazomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW
copied
https://iqna.ir/H0EZWb