iqna

IQNA

mtume muhammad saw
Ramadhani katika Qur'an /3
IQNA - Moja ya Hadith maarufu zilizosimuliwa kuhusu Ramadhani ni katika khutba ya Mtukufu Mtume (SAW) iliyotolewa katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi wa Shaaban.
Habari ID: 3478535    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/18

Mtazamo
IQNA-Alhamisi tarehe 27 Rajab 1445 Hijria sawa na Februari 8 mwaka 2024 Miladia inasadifiana na siku ya Kubaathiwa Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu na ya kipekee katika Uislamu.
Habari ID: 3478319    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

Taarifa ya ISESCO
TEHRAN (IQNA) - Shirika la Nchi za Kiislamu la Utamaduni, Elimu na Sayansi (ICESCO) lilitangaza kurefushwa muda wa Maonyesho ya Kimataifa ya Seerah ya Mtume Muhammad SAW na Ustaarabu wa Kiisilamu katika makao makuu yake huko Rabat, Moroko, kwa miezi mingine sita.
Habari ID: 3476929    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/28

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Kuna Hadithi nyingi kuhusu umuhimu na fadhila za mwezi mtukufu wa Ramadhani na miongoni mwazo ni hotuba ya Mtukufu Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3476758    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25

Kongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezikosoa nchi za Kiislamu kwa kutochokua hatua yoyote ya maana juu ya kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3476581    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18

Ahul Bayt wa Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA)-Siku kama ya leo miaka 1452 iliyopita kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Qamaria, alizaliwa Bibi Fatima Zahra (SA), binti mtukufu wa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3476395    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13

Shakhsia katika Qur’ani Tukufu /26
TEHRAN (IQNA) – Utafiti wa hadithi za Mitume wa Mwenyezi Mungu unaonyesha kwamba kila mmoja wao alikuwa na sifa maalum. Harun (AS), kwa mfano, alikuwa mzungumzaji na alikuwa na uwezo wa kushawishi.
Habari ID: 3476394    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/12

Sura za Qur'ani Tukufu /54
TEHRAN (IQNA) – Wanasayansi hawajapata sababu ya mpasuko unaoonekana katika mwezi lakini baadhi yao wanasema mpasuko huo ulijiri mamia ya miaka iliyopita.
Habari ID: 3476368    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07

Sura za Qur'ani Tukufu / 53
TEHRAN (IQNA) – Moja ya imani za Waislamu ni kuhusu safari ya Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) kwenda mbinguni. Katika safari hii ya usiku, inayojulikana kama Mi’raj (kupanda), Mtume Muhammad (SAW) alisafiri kwenda mbinguni na kuzungumza na baadhi ya malaika, mitume wengine na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476353    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03

Sira ya Mtume Muhammad
TEHRAN (IQNA) - Mapitio ya vitabu vya historia yanaonyesha kuwa vita vyote wakati wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) vilikuwa vya kujihami au kujitetea na kwamba hakuanzisha vita yoyote.
Habari ID: 3476040    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Hujuma dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Makumi kwa maelfu ya watu walifanya maandamano siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa Mali wa Bamako kushutumu kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476038    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Maadili ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Qatar imetayarisha maandishi makubwa ya hadithi za Mtume Muhammad (SAW) yatakayowekwa maeneo muhimu wakati wa Kombe la Soka la Dunia la 2022.
Habari ID: 3476017    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/01

Qur'ani Tukufu inasemaje/19
TEHRAN (IQNA) – Akirejea kutoka katika Hijja yake ya mwisho, Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) alipokea aya kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambazo zilifungamanisha kukamilika kwa jumbe zote za Mwenyezi Mungu na ujumbe mmoja maalum.
Habari ID: 3475954    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/19

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mkutano mjini London umejadili chimbuko la Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia) , ukitoa wito kwa Waislamu kujenga umoja ili kukabiliana na hali hii.
Habari ID: 3475952    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/19

Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameidhinisha pendekezo la kuachiwa huru au kupunguziwa vifungo wafungwa karibu 2,000 wa Kiirani, kwa mnasaba wa maadhimisho ya Maulidi ya Mtume (SAW) na kumbukumu ya mazazi ya Imam wa Ja'afar Swadiq (AS).
Habari ID: 3475924    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/13

Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) - Mtume Muhammad (SAW) alianzisha miundo mipya ya usimamizi wa mji wa Madina kama mji mkuu wa ulimwengu wa Kiislamu. Alichokiunda kinaweza kuchukuliwa kuwa kielelezo cha kujenga jamii na kusimamia masuala ya ulimwengu.
Habari ID: 3475922    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/13

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Iraq amesema, kuandaliwa kongamano la umoja wa Kiislamu kunaonyesha umakini wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475918    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/12

Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia uwezo wa Umma wa Kiislamu katika ulimwengu wa sasa na kueleza kwamba, bendera iliyoinuliwa juu na Imamu Ruhullah Khomeini (RA) ni bendera ya umoja baina ya Waislamu kote duniani.
Habari ID: 3475916    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/12

Maulid ya Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa 11 unaoandaliwa kila mwaka kwa mnasaba wa Maulid ya Mtukufu Mtume (SAW) ulifanyika katika mji wa Adrar nchini Algeria.
Habari ID: 3475913    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/11

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni mwandamizi wa Lebanon ameutaja umoja kati ya Waislamu kama msingi imara zaidi wa kulinda Uislamu kutokana na vitisho vilivyopo.
Habari ID: 3475911    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/11