iqna

IQNA

ufaransa
Waislamu Ufaransa
IQNA-Kuongezeka chuki katika ngazi za kisiasa na kijamii dhidi ya wanawake Waislamu hasa wanaovalia hijabu na niqabu nchini Ufaransa kumepelekea idadi kubwa ya wanawake hao waihame nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3478370    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18

Waislamu Ufaransa
IQNA - Malalamiko ya kukashifiwa yamewasilishwa dhidi ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darmanin na mchezaji mashuhuri wa sokaKarim Benzema.
Habari ID: 3478208    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/17

Chuki dhidi ya Uislamu
PARIS (IQNA) - Mwanafikra wa Morocco amekosoa uamuzi wa Ufaransa wa kuwakataza wanariadha wake kuvaa hijabu ambayo huvaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu, wakati wa Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024, akisema inafichua upofu na msimamo mkali wa mawazo ya kisiasa ya Ufaransa.
Habari ID: 3477696    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/07

Waislamu Ufaransa
PARIS (IQNA) - Mwanafunzi wa Kiislamu wa Ufaransa, aliyekataliwa hivi majuzi kuingia shuleni kwake huko Lyon kwa kuvaa vazi la Kijapani la Kimono, amepeleka kesi yake kwenye Umoja wa Mataifa (UN), akisema amebaguliwa kwa misingi ya imani yake ya kidini.
Habari ID: 3477639    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23

Waislamu Ufaransa
PARIS (IQNA) - Edouard Philippe, ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu chini ya Rais wa Ufaransa Emanuel Macron kutoka 2017-2020, almeandika katika kitabu chake kipya kilichotolewa Des Lieux Qui Disent (Maeneo Yanayozungumza) kwamba kuna haja ya kuunda "kanuni na shirika maalum kwa ajili ya kusimamia masuala ya Waislamu”.
Habari ID: 3477620    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/18

Chuki dhidi ya Uislamu
GENEVA (IQNA) - Msemaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu (OHCHR) amelaani uamuzi wa Ufaransa wa kuwapiga marufuku wanafunzi Waislamu kuvaa abaya.
Habari ID: 3477526    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/31

Chuki dhidi ya Waislamu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Marekani na Kiislamu (CAIR) limelaani uamuzi wa serikali ya Ufaransa wa kupiga marufuku wanafunzi Waislamu kuvaa Abaya.
Habari ID: 3477513    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Waziri wa elimu wa Ufaransa anasema mwili wake hauwezi kuvumilia maombi ya wanafunzi Waislamu shuleni kote nchini.
Habari ID: 3477164    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/19

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Kundi la wanazuoni na taasisi za Kiislamu nchini Ufaransa wamekashifu vikali shutuma zilizotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo ya Ulaya dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa.
Habari ID: 3477041    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

TEHRAN (IQNA) – Msomi Muislamu wa Austria, Farid Hafez ameitaja serikali ya Ufaransa kama nchi ya Ulaya ambayo ina mtazamo mkali zaidi kwa Waislamu Waislamu.
Habari ID: 3477035    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Marefa nchini Ufaransa wameamuriwa na shirikisho la soka la nchi hiyo kutositisha mechi ili kuwaruhusu wachezaji Waislamu kufuturu katika mwezi wa Ramadhani.
Habari ID: 3476794    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/01

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa riwaya wa Ufaransa mwenye utata Michel Houellebecq anashtakiwa na Muungano wa Misikiti nchini Ufaransa kwa ubaguzi, matamshi ya chuki na kuchochea ghasia katika matamshi wakati wa mahojiano.
Habari ID: 3476404    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Jamia wa Paris, Ufaransa unawasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya mwandishi Mfaransa Michel Houellebecq kutokana na kauli zake dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3476330    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/30

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Mahakama moja ya Ufaransa imemtoza faini mmiliki wa mgahawa kusini-magharibi mwa nchi hiyo ya Ulaya kwa kumkataza mwanamke Mwislamu kuingia akiwa amevaa mtandio wa Kiislamu, unajulikana pia kama Hijabu.
Habari ID: 3476178    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/01

Chuki dhidi ya Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Ufaransa wameifunga shule mbili za Kiislamu katika mji wa kusini wa Montpellier, vyombo vya habari vya ndani viliripoti.
Habari ID: 3476108    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Wanazuoni Mashuhuri wa Kiislamu Duniani /4
TEHRAN (IQNA) – Allamah Mohamed Ben Checkroun alikuwa mwanachuoni aliyeandika tafsiri na tarjuma ya kwanza ya uhakika ya Qur’ani Tukufu katika lugha ya Kifaransa katika jildi kumi.
Habari ID: 3476035    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04

TEHRAN (IQNA) – Tatizo la chakula katika mikahawa ya shule nchini Ufaransa ni keri kubwa kwa wazazi wengi wa wanafunzi Waislamu.
Habari ID: 3475982    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/24

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN(IQNA0- Wanaharakati katika mitandao ya kijamii ya Ufaransa wamekemea vikali shambulio lililofanywa dhidi ya mwanafunzi wa Kiislamu aliyekuwa na vazi la staha la hijabu katika shule ya sekondari baada ya nakala ya Qur'ani Tukufu aliyokuwa nayo kuraruliwa na kisha akavuliwa vazii lake la Hijabu.
Habari ID: 3475944    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Msomi na mwanafikra wa Ufaransa amesema chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) haikomei kwa chama fulani bali ni sera ya serikali nchini Ufaransa.
Habari ID: 3475936    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/16

Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Mwanasiasa mwenye siasa kali za mrengo wa kulia wa Ufaransa, Marine Le Pen amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, Gérald Darmanin, kufunga misikiti zaidi ya Waislamu akisema kuwa kufungwa misikiti 24 katika kipindi cha miaka miwili iliyopita haitoshi.
Habari ID: 3475881    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05