iqna

IQNA

IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeripoti ongezeko la asilimia 75 la matukio ya chuki dhidi ya Waislamu katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka 2025, huku mashambulizi dhidi ya watu binafsi yakiongezeka mara tatu ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana.
Habari ID: 3480892    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04

IQNA – Serikali ya Ufaransa imeshutumiwa kwa kulenga shirika la Ulaya linalojitolea kupambana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3480767    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31

IQNA – Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limeitaka Ufaransa na Umoja wa Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na kusitisha makubaliano yao ya kisiasa na kiuchumi na utawala wa Israel kutokana na jinai za utawala huo huko Gaza.
Habari ID: 3480716    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21

IQNA – Maelfu ya watu wameandamana katika mitaa ya Paris na miji mingine ya Ufaransa siku ya Jumapili kulaani ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na kumuenzi Aboubakar Cissé, kijana kutoka Mali aliyeuawa akiswali ndani ya msikiti.
Habari ID: 3480675    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/12

IQNA-Mwanaume mmoja wa Kifaransa aliyemdunga kisu na kumuua Mwislamu aliyekuwa akisali katika msikiti ulioko kusini mwa Ufaransa, ameshtakiwa rasmi kwa mauaji ya kukusudia yanayochochewa na chuki ya kidini au kikabila, ofisi ya mwendesha mashtaka wa Nîmes ilitangaza Ijumaa.
Habari ID: 3480667    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/11

IQNA – Italia imemrudisha Ufaransa mtuhumiwa katika kesi ya mauaji ya kijana Mwislamu katika msikiti wa Ufaransa.
Habari ID: 3480664    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/10

IQNA – Muungano mpana wa makundi ya kisiasa, mashirika ya kiraia, wasomi, watafiti, waandishi na watu mashuhuri umetangaza maandamano ya kimya yatakayofanyika kote Ufaransa Jumapili, Mei 11, kulaani kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3480659    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/09

IQNA – Wabunge wa Ufaransa siku ya Jumanne walikusanyika kwa heshima kuu kumkumbuka Muislamu aliyepoteza maisha katika shambulio la kusikitisha ndani ya msikiti uliopo kusini mwa nchi hiyo. 
Habari ID: 3480619    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30

IQNA – Wanamichezo wanawake wa Kiislamu nchini Ufaransa wamejitokeza kupinga muswada mpya wa sheria unaolenga kupiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo ya kitaifa, wakisema hatua hiyo inakiuka uhuru wa dini na kujieleza.
Habari ID: 3480491    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04

IQNA-Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limelaani kampeni inayoenea inayolenga wanawake wa Kiislamu wanaovaa hijabu, likiitaja kama yenye madhara na inayodhoofisha mshikamano wa kitaifa.
Habari ID: 3480455    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/28

IQNA – Wachezaji wa soka Waislamu nchini Ufaransa wamepigwa marufuku kufunga wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wanapokuwa wakifanya mazoezi na timu ya taifa.
Habari ID: 3480302    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/04

IQNA-Chama cha Wanafunzi Waislamu wa Ufaransa (EMF) kimelaani vikali pendekezo la sheria inayopiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo, likiitaja kuwa "ya kibaguzi, ya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ya ubaguzi wa kijinsia."
Habari ID: 3480247    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21

Waislamu
IQNA - Shule ya Kiislamu kusini-mashariki mwa Ufaransa imewasilisha kesi mahakamani dhidi ya mbunge kwa kuibua uzushi dhidi ya shule hiyo
Habari ID: 3479915    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18

IQNA - Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa Ufaransa kubatilisha hatua zake za kibaguzi zinazopiga marufuku wanawake na wasichana kuvaa Hijabu wanapocheza michezo, huku wakiitaka Ufaransa kufuata majukumu ya kimataifa ya haki za binadamu.
Habari ID: 3479664    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mamlaka za Ufaransa zilimkamata na kisha kumwachilia muuguzi Imane Maarifi, ambaye alitumia siku 15 kujitolea kama tabibu katika Ukanda wa Gaza wakati huu wa vita vya mauaji ya kimbari vya ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479394    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07

Misikiti Nchini Ufaransa
Msikiti Mkuu wa Paris, alama ya umuhimu wa kitamaduni na kidini nchini Ufaransa, utakuwa sehemu ya sherehe za Olimpiki za 2024 mwaka huu huku ukikaribisha mwali wa Olimpiki mnamo Julai 14 saa 3 asubuhi.
Habari ID: 3479102    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/10

Nuru ya Uislamu
IQNA - Profesa wa sheria wa Ufaransa na mwanaharakati anayeunga mkono Palestina amesilimu baada ya kusoma Qur'ani Tukufu akiwa katika kambi ya wakimbizi katika mji wa Jenin, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3478844    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/18

Waislamu Ufaransa
IQNA - Msikiti Mkuu wa Paris ulimkosoa waziri mkuu wa Ufaransa kwa matamshi yake ya hivi karibuni ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3478751    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/30

Waislamu Ufaransa
IQNA-Kuongezeka chuki katika ngazi za kisiasa na kijamii dhidi ya wanawake Waislamu hasa wanaovalia hijabu na niqabu nchini Ufaransa kumepelekea idadi kubwa ya wanawake hao waihame nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3478370    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18

Waislamu Ufaransa
IQNA - Malalamiko ya kukashifiwa yamewasilishwa dhidi ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darmanin na mchezaji mashuhuri wa sokaKarim Benzema.
Habari ID: 3478208    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/17