Katika Mkutano na Waziri Mkuu wa Pakistan
IQNA-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia ulazima wa kuweko hatua za pamoja na zenye ufanisi baina ya Iran na Pakistan za kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza na ameashiria nafasi maalumu ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3480746 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27
IQNA- Watu 13 Wauawa Katika Shambulio la India Kwenye Msikiti wa Pakistan: Afisa Shambulio la kombora la India kwenye msikiti huko Bahawalpur, mji katika Punjab ya Pakistan, afisa wa Pakistani alisema. Afisa huyo aliongeza kuwa wanawake na watoto walikuwa miongoni mwa waliouawa katika shambulio hilo.
Habari ID: 3480652 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/07
IQNA-Watu 6 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika Msikiti wa Chuo Kikuu cha Haqqaniyya kaskazini magharibi mwa Pakistan.
Habari ID: 3480282 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/01
IQNA – Kozi ya mtandaoni kuhusu tafsiri ya Qur'ani Tukufu na mada za kidini itafanyika Pakistan wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480276 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
IQNA – Mwanazuoni wa Pakistani ametaja Qur'ani Tukufu kama ufunguo wa kutatua tofauti na kuimarisha umoja kati ya mataifa ya Kiislamu.
Habari ID: 3480249 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
Jamii
IQNA – Kuenea kwa vikundi vya magaidi wakufurishaji katika maeneo ya mpaka kati ya Pakistan na Afghanistan kumesababisha mateso kwa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia huko Parachinar, msomi mmoja wa Kiislamu amesema.
Habari ID: 3479854 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/04
Waislamu wanaodhulumiwa
IQNA - Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq amelaani vikali shambulio la kigaidi nchini Pakistan lililogharimu maisha ya zaidi ya Waislamu 40 wa Kishia.
Habari ID: 3479796 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23
Jinai dhidi ya Mashia
IQNA-Magaidi wamefyatulia risasi magari yaliyokuwa yamewabeba Waislamu wa madhehebu ya Shia katika eneo la kaskazini-magharibi mwa Pakistan siku ya Alhamisi na kuua takriban watu 38 wakiwemo wanawake na watoto huku wengine wengi wakijeruhiwa.
Habari ID: 3479787 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/21
IQNA - Mashindano ya usomaji wa Qur'ani Tukufu yalifanyika Rawalpindi, Pakistani kuwaenzi mashahidi wa muqawama.
Habari ID: 3479718 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08
Jinai
IQNA - Mapigano ya hivi punde katika eneo la Parachinar, jimbo la Khyber Pakhtunkhwa nchini Pakistan, yamesababisha vifo vya watu 31 na kuwaacha takriban 70 kujeruhiwa.
Habari ID: 3479504 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/28
Harakati za Qur'ani
IQNA - Mwanazuoni wa Pakistan amezungumza kuhusu nafasi ambayo mafundisho ya Qur'ani Tukufu yanaweza kuchukua katika kukabiliana na mfadhaiko na wasiwasi.
Habari ID: 3479236 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/06
Qurani Tukufu
IQNA - Waziri anayemaliza muda wake wa masuala ya kidini wa Pakistan amesisitiza wajibu wa kila Muislamu mwanamume na mwanamke kueneza elimu ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478454 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/05
Taazia
IQNA – Marjaa Mkuu wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Seyed Ali al-Sistani ametoa pole kwa kifo cha Sheikh Mohsin Ali Najafi, mfasiri wa Qur'ani na mwanachuoni mwandamizi wa Pakistan.
Habari ID: 3478176 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/10
Uhusiano wa Waislamu na Wakristo
IQNA - Msikiti mmoja huko Abbottabad uliandaa sherehe ya Krismasi kwa watoto wa Kikristo, ambapo wanafunzi Waislamu wa madrassa walikabidhiwa mabegi ya shule na zawadi.
Habari ID: 3478101 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/27
Kadhia ya Kashmir
IQNA - Mamlaka katika eneo linalozozaniwa la Kashmir linalotawaliwa na India haikuruhusu Sala ya Ijumaa ya jamaa kwenye Msikiti wa Jamia huko Srinagar kwa wiki ya kumi mfululizo.
Habari ID: 3478042 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/16
Vita dhidi ya ugaidi
Nchi za Kiislamu zimelaani vikali mashambulizi mawili ya kigaidi ambayo yamesababisha vifo vya watu wengi nchini Pakistan.
Habari ID: 3477670 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/30
Ugaidi
Takriban watu 52 wameuawa na zaidi ya watu 80 kujeruhiwa katika mlipuko katika jimbo la kusini magharibi la Balochistan nchini Pakistan, kulingana na maafisa wa eneo hilo.
Habari ID: 3477665 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29
Maelewano ya kidini
ISLAMABAD (IQNA) - Msikiti katika mji wa Jaranwala, mkoa wa Punjab wa Pakistan, ulifungua mlango wake kwa Wakristo wanaohitaji mahali pa ibada.
Habari ID: 3477474 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/21
Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Afisa mmoja wa Pakistani alitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuhakikisha sheria dhidi ya kufuru na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu zinapitishwa katika nchi zao.
Habari ID: 3477265 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/10
Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imehimizwa kubuni mikakati ya kukabiliana na chuki inayoongezeka dhidi ya Uislamu duniani kote.
Habari ID: 3477253 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/08