IQNA – Aiman Ridhwan Bin Mohammad Ramlan kutoka Malaysia ameibuka mshindi wa kwanza katika Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qira’at yaliyofanyika mjini Islamabad, Pakistan.
Habari ID: 3481600 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/01
IQNA-Spika wa Bunge la Taifa la Pakistan, Sardar Ayaz Sadiq, amesema mashindano ya kimataifa ya usomaji Qur’ani Tukufu yanayoendelea mjini Islamabad ni alama ya umoja wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3481580 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/28
IQNA – Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur’ani nchini Pakistan amesema anatarajia ushindani mkali katika mashindano hayo.
Habari ID: 3481571 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26
IQNA – Mashindano ya kwanza ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani nchini Pakistan yameanza rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Islamabad.
Habari ID: 3481566 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/25
IQNA – Chuo Kikuu cha Gujrat, Kampasi ya Hafiz Hayat, nchini Pakistan kimeandaa semina maalum yenye kichwa cha habari “Dhana ya Muda kwa Mujibu wa Qur’ani Tukufu,” ikiwaleta pamoja wanafunzi kwa ajili ya maarifa ya kiakili na kiroho.
Habari ID: 3481453 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/02
IQNA – Mwanazuoni mashuhuri kutoka Pakistan amesema kwamba njia muhimu zaidi ya kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel ni kupitia umoja wa Ulimwengu wa Waislamu.
Habari ID: 3481278 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24
IQNA – Waziri wa Mambo ya Kidini wa Pakistan ametoa mwaliko rasmi kwa wataalamu na wasomaji wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani yanayotarajiwa kufanyika nchini humo.
Habari ID: 3481274 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23
IQNA – Msikiti maarufu wa Faisal ulioko katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, uliandaa sherehe ya kuwaenzi wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481100 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/18
Katika Mkutano na Waziri Mkuu wa Pakistan
IQNA-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia ulazima wa kuweko hatua za pamoja na zenye ufanisi baina ya Iran na Pakistan za kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza na ameashiria nafasi maalumu ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3480746 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27
IQNA- Watu 13 Wauawa Katika Shambulio la India Kwenye Msikiti wa Pakistan: Afisa Shambulio la kombora la India kwenye msikiti huko Bahawalpur, mji katika Punjab ya Pakistan, afisa wa Pakistani alisema. Afisa huyo aliongeza kuwa wanawake na watoto walikuwa miongoni mwa waliouawa katika shambulio hilo.
Habari ID: 3480652 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/07
IQNA-Watu 6 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika Msikiti wa Chuo Kikuu cha Haqqaniyya kaskazini magharibi mwa Pakistan.
Habari ID: 3480282 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/01
IQNA – Kozi ya mtandaoni kuhusu tafsiri ya Qur'ani Tukufu na mada za kidini itafanyika Pakistan wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480276 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
IQNA – Mwanazuoni wa Pakistani ametaja Qur'ani Tukufu kama ufunguo wa kutatua tofauti na kuimarisha umoja kati ya mataifa ya Kiislamu.
Habari ID: 3480249 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
Jamii
IQNA – Kuenea kwa vikundi vya magaidi wakufurishaji katika maeneo ya mpaka kati ya Pakistan na Afghanistan kumesababisha mateso kwa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia huko Parachinar, msomi mmoja wa Kiislamu amesema.
Habari ID: 3479854 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/04
Waislamu wanaodhulumiwa
IQNA - Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq amelaani vikali shambulio la kigaidi nchini Pakistan lililogharimu maisha ya zaidi ya Waislamu 40 wa Kishia.
Habari ID: 3479796 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23
Jinai dhidi ya Mashia
IQNA-Magaidi wamefyatulia risasi magari yaliyokuwa yamewabeba Waislamu wa madhehebu ya Shia katika eneo la kaskazini-magharibi mwa Pakistan siku ya Alhamisi na kuua takriban watu 38 wakiwemo wanawake na watoto huku wengine wengi wakijeruhiwa.
Habari ID: 3479787 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/21
IQNA - Mashindano ya usomaji wa Qur'ani Tukufu yalifanyika Rawalpindi, Pakistani kuwaenzi mashahidi wa muqawama.
Habari ID: 3479718 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08
Jinai
IQNA - Mapigano ya hivi punde katika eneo la Parachinar, jimbo la Khyber Pakhtunkhwa nchini Pakistan, yamesababisha vifo vya watu 31 na kuwaacha takriban 70 kujeruhiwa.
Habari ID: 3479504 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/28
Harakati za Qur'ani
IQNA - Mwanazuoni wa Pakistan amezungumza kuhusu nafasi ambayo mafundisho ya Qur'ani Tukufu yanaweza kuchukua katika kukabiliana na mfadhaiko na wasiwasi.
Habari ID: 3479236 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/06
Qurani Tukufu
IQNA - Waziri anayemaliza muda wake wa masuala ya kidini wa Pakistan amesisitiza wajibu wa kila Muislamu mwanamume na mwanamke kueneza elimu ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478454 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/05