IQNA

Qasida ya "Al-Asma-ul-Husna" yasomwa na Kundi la Qasida la Qadr + Video

Wanachama wa kundi la Qasida la Qadr pamoja na baadhi ya wanaharakati wa Qur'ani wa Iran wamejumuika kwa ajili ya kusoma kwa pamoja Al-Asma-ul-Husna yaani Majina Mazuri Ya Allah.

Kulingana na IQNA,, jioni ya Alhamisi, Julai 22, wakati wa hafla iliyofanyika katika ukumbi wa kidini wa Husseinia 2 ya Jamaran, kikundi  hicho cha Qasida kilitambulishwa kama balozi wa amani na urafiki wa UNESCO.

Mwishoni mwa sherehe hii, wanachama wa kundi la Qasida la Qadr na wengine waliokuwepo katika sherehe hii waliimba pamoja Al-Asma-ul-Husna.