IQNA

Raisi wa Iran azindua toleo la tano la Tuzo ya al Mustafa (SAW)

Siku ya Ijumaa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi amezindua katika toleo la tano la Tuzo ya al Mustafa (SAW) katika mji wa Isfahan, kati mwa Iran.

Tuzo ya al Mustafa (SAW), ilioanzishwa na Baraza Kuu la Utamaduni la Iran mnamo 2011 na mwaka huu  ni ya tano kufanyika. Hadi sasa imewatunuku wasomi 14 wa ulimwengu tuzo hilo, na makala zake za kielimu kuchapishwa kama tuzo la Nobel la nchi za Kiislamu duniani. Zaidi ya wasomi moja moja kutoka nchi 40 za Kiislamu wanashiriki katika hafla ya  tano ya Tuzo la Elimu na Teknolojia la Mtume Mustafa (SAW).