IQNA

Katika Picha: Mtaa wa Wakristo huko Isfahan katika mkesha wa mwaka mpya wa 2025 Miladya

IQNA – Mtaa wa Wakristo Waarmenia wa Isfahan, unaojulikana kama New Jolfa, ulijiandaa katika sherehe za mwaka mpya tarehe 31 Desemba, 2024.