Siku ya 3, 4 na 5 ya Sha’aban (Februari 24, 25, na 26 mwaka huu) ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Hussein (AS), Hadhrat Abbas (AS) na Imam Sajjad (AS) mtawalia ambao ni katika Ahul Bayt wa Mtume Muhammad (SAW). Siku hizi ni maarufu kama Idi za Sha'aban.