Lango la Quran ni lango la kihistoria kaskazini mwa Shiraz, Iran, na linajulikana kama ishara ya mji huo. Kila mwaka, Manispaa ya Shiraz hubadilisha nakala ya Qur'ani iliyo kwenye Lango la Qur'ani na kuweka nakala mpya katika Siku ya Shiraz.
Ordibehesht 15 katika kalenda ya Iran ya Hijria Shamsiya iliyosadifiana na Mei 5 huadhimishwa kama Siku ya Shiraz kila mwaka ili kuangazia jiji hili la malengamashuhuri wanaotambulika kimataifa, Saadi na Hafez.