IQNA

Usomaji wa Qur'ani wa Qari Hamed Shakernejad katika Mkusanyiko wa Maombolezo ya Muharram

IQNA - Qari mashuhuri wa Iran, Hamed Shakernejad alisoma Qur'ani Tukufu kadhaa katika mikusanyiko tofauti ya kidini iliyoomboleza kuuawa shahidi Imam Hussein (AS) mnamo Julai 2024, Kinachofuata ni kisomo chake katika "kituo cha kidini cha Abdullah Ibn Hassan.

 

 

 3489181