IQNA

Khitma ya Qur'ani kwa ajili ya Shahidi Soleimani

IQNA -Vikao vya usomaji wa Qur'ani vilifanyika kote Iran, ikiwa ni pamoja na katika mji mkuu Tehran, Jumamosi, Januari 4, 2025, katika kumbukumbu ya Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani.