IQNA

Qari wa Iran Asoma Aya za Surah Al-Hajj

IQNA – Qari wa Iran, Javad Soleimani, ambaye ni msomaji wa Qur’ani katika Haram Tukufu ya Imam Reza (A.S.) huko Mashhad, hivi karibuni alisoma aya 73 hadi 78 za Surah Al-Hajj.
Qari wa Iran Asoma Aya za Surah Al-Hajj