IQNA

Maombolezo ya Imam Hussein (AS) Al Kadhimiya, Iraq

TEHRAN (IQNA) – Katika usiku wa kwanza wa mwezi wa Muharram, ambao ni kwanza wa Hijriya Qamariya, kumeanza maombolezo wakati huu wa kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein AS katika eneo la Haram takatifu za Al Kadhimiya huko, Baghdad, Iraq na meneo mengine ya nchi hiyo.
 
 
Kishikizo: imam hussein as ، muharram