IQNA – Kama ilivyokuwa katika miaka iliyopita, mamlaka za Bahrain zimeendelea kuweka vizuizi juu ya maombolezo ya Muharram, hasa katika siku ya Ashura, mwaka huu pia.
Habari ID: 3480936 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13
IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (Alayhis Salaam) huko Najaf, Iraq, kwa sasa inashuhudia wingi mkubwa wa wafanyaziara na waombolezaji kuadhimisha kuingia kwa mwezi wa Muharram, ambao ulianza Ijumaa, tarehe 27 Juni.
Habari ID: 3480871 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/29
IQNA – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini nchini Syria imekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuwa Haram takatifu ya Bibi Zaynab (Salamullahi ‘alayha) mjini Damascus imefungwa.
Habari ID: 3480869 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/29
IQNA - Tukio maalum la sherehe liitwalo "Muharram City", ambalo linajumuisha ubunifu wa kisanii, limeandaliwa Tehran kwa mwaka wa pili, kwa lengo la kukuza maombolezo ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS) katika miezi ya Hijri ya Muharram na Safar. .
Habari ID: 3479242 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/07
Matukio ya Imam Hussein (AS)
Aya nyingi katika Qur'ani Tukufu zinahusiana na shakhsia ya Imam Hussein (AS) na maana kubwa ya mageuzi ya Ashura.
Habari ID: 3479156 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/20
Muharram
TEHRAN (IQNA)- Waislamu kote duniani wanaukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu ambapo umeanza Mosi Muharram.
Habari ID: 3477305 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/19
Kaaba Tukufu
MAKKA (IQNA) – Kifuniko, kinachojulikana kama Kiswa, cha Kaaba Tukufu kilibadilishwa Jumanne usiku kwa mujibu wa desturi ya kila mwaka.
Habari ID: 3477304 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/19
Hali ya Waislamu Bahrain
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa kiimla wa Bahrain umeshadidisha ukandamizaji wake wa kikatili dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo kabla ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475577 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04
Mwezi wa Muharram
TEHRAN (IQNA)- Julai 30, 2022 imesadifiana ni tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram mwaka 1444 Hijria Qamaria. Huu ni mwezi ambao Waislamu na wapenda haki duniani hukumbuka mapambano ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475565 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31
Al Kaaba Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Jumamosi kumefanyika hafla ya kubadilisha pazia la al-Kaaba Tukufu linalojulikana kama Kiswa baada ya kuwadia mwezi wa Muharram 1444 Hijria, ambao ni mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiislamu.
Habari ID: 3475561 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31
TEHRAN (IQNA) Kundi kuu la upinzani la Bahrain, Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, imelaani mashambulio na uchokozi wa utawala Al Khalifa wakati wa maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3474217 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/22
TEHRAN (IQNA)- Watu kote Iran wanaendelea na mijimuiko kwa ajili ya kuomboleza kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake watiifu 72 katika janga la Karbala mwaka 61 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3474203 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18
Katika mkesha Tasu'a ya Imam Hussein AS, waislamu, hasa wa Madhehebu ya Shia wameghiriki katika maombolezo kwa mnasaba wa siku hii.
Habari ID: 3474202 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18
TEHRAN (IQNA)- Imesisitizwa sana kuandaa na kushiriki katika Majlisi za kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS katika mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3474189 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/14
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, kwa sasa harakati ya Hizbullah ni nembo kubwa ya muqawama na ina taathira ya kustaajabisha kitaifa na pia kikanda.
Habari ID: 3474188 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/14
TEHRAN (IQNA)- Hafla za Kimataifa kwa jina la "Watoto Wachanga Wanaonyonya wa Hussein AS" zimefanyika leo Ijumaa katika maeneo mbalimbali hapa nchini Iran na katika nchi 45 duniani sambamba na Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3474186 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/13
TEHRAN (IQNA)- Kuna msema usemao "Kila siku ni Ashura na kila ardhi ni Karbala." Lakini maana yake ni nini haswa?
Habari ID: 3474183 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12
TEHRAN (IQNA)-Katibu mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesistiza ulazima wa wale wanaohudhuria maombolezo ya Muharram kuzingatia kanuni za kiafya.
Habari ID: 3474181 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/11
TEHRAN (IQNA)- Katika mkesha wa kuanza mwezi wa Muharram, bendera ya Msikiti wa Jamkaran karibu na mji wa Qum nchini Iran imebadilishwa ambapo ile ya kijani kibichi imeshushwa na nyeusi ikapandishwa.
Habari ID: 3474173 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/09
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho maalumu yamezinduliwa katika eneo la Rey, kusini mwa Tehran kwa lengo la kuonyesha vifaa vinavyotumika katika maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3474166 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/07