Picha 3,800 ziliwasilishwa katika mashidano ya mwaka huu. Waandalizi wamezingatia masuala ya maudhui, mahala na mtindo wa upigaji picha. Mpiga picha Kelvin Yuen mwenye umri wa miaka 24 kutoika Hong Kong ametangazwa mshini wa mwaka huu.
Zifuatazo ni baadhi ya picha katika mashindano ya mwaka huu.