IQNA

Matukio ya Hija 1446 Katika Picha

IQNA – Kila mwaka wakati wa Hija, mamilioni ya Waislamu kutoka pembe zote za dunia hukusanyika kutekeleza ibada hii tukufu.

Kuanzia kufanya Tawaf yaani kuizunguka Kaaba, na Sa’i kati ya Safa na Marwah, hadi kusimama katika uwanja wa Arafat, kukesha Muzdalifah, kuchinja wanyama Mina, na kurusha mawe katika Jamarat, Hija huonyesha taswira ya kushangaza ya ibada ya hali ya juu, nidhamu ya kiroho, na mshikamano wa Waislamu duniani kote.

 
 
Kishikizo: hija