IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimeripoti utoaji wa huduma mbalimbali kwa mahujaji na wageni waliotembelea Msikiti Mtukufu wa Makkah katika mwaka wa 1446 na mwanzoni mwa mwaka 1447 Hijria, kama sehemu ya juhudi zinazoendelea kusaidia wasafiri wa kidini na kusimamia shughuli za ibada.
Habari ID: 3480919 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09
IQNA – Shirika la Hija la Iran limetangaza kuanza upya kwa safari za kurudi nyumbani kwa Mahujaji wa Iran kwa njia ya anga na nchi kavu baada ya kufutwa safari za ndege katika anga ya Iran kufuatia hujuma ya utawala haramu wa Israel
Habari ID: 3480837 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/15
IQNA-Shirika la Hajj na Hija la Iran limetangaza Ijumaa kwamba safari zote za kurudi kwa Mahujaji wa Kiirani zimesitishwa hadi taarifa nyingine itakapotolewa, kufuatia kusimamishwa kwa safari za anga kote nchini baada ya mfululizo wa mashambulizi ya anga ya Israel.
Habari ID: 3480829 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/13
IQNA — Zaidi ya nakala milioni mbili za Qur'ani Tukufu zinasambazwa miongoni mwa Mahujaji wanaorejea nyumbani baada ya ibada ya Hija nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3480816 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10
IQNA – Kila mwaka wakati wa Hija, mamilioni ya Waislamu kutoka pembe zote za dunia hukusanyika kutekeleza ibada hii tukufu.
Habari ID: 3480815 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
Hija Katika Qur’ani/9
IQNA – Qur’ani Tukufu inawakumbusha Watu wa Kitabu (Ahlul Kitab), wanaojinasibu kuwa wafuasi wa Nabii Ibrahim (AS), kuwa ikiwa madai yao ni ya kweli, basi wanapaswa kuamini msingi wa Ibrahimu katika ujenzi wa Kaaba na kuitambua kama Qibla (eneo la kuelekea wakati wa swala) ya kweli ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3480814 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Shirika la Hija la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetunukiwa Tuzo ya Labaytum kwa ubora katika Huduma kwa Mahujaji.
Habari ID: 3480810 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Takriban Mahujaji milioni 1.7 wamekusanyika katika ardhi tukufu ya Saudi Arabia kumaliza ibada muhimu za Hija, ambazo zilihitimishwa kwa ibada ya kutupa mawe katika eneo la Mina na kuzunguka Kaaba kwa mara ya mwisho (Tawafu ya kuaga) katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
Habari ID: 3480804 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08
Zaidi ya mahujaji milioni 1.5 wameanza ibada ya Hija katika mji mtakatifu wa Makkah. Picha zifuatazo za siku ya kwanza ya Hija ya mwaka 1446 Hijria Qamaria (2025) zinaonyesha taswira safi za ibada yenye unyenyekevu na shauku ya kuungana na Mola Mlezi.
Habari ID: 3480798 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/06
IQNA – Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Iran (IRCS), Daktari Pir Hossein Koulivand, ametangaza kuwa shirika hilo limefungua hospitali za muda katika maeneo ya Arafat na Mina, karibu na Makkah, kwa ajili ya kuwahudumia Mahujaji.
Habari ID: 3480793 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/06
Hija Katika Qur'ani /8
IQNA-Katika maneno matukufu ya Qur’ani, Mwenyezi Mungu anaitambulisha Kaaba kama nyumba ya kwanza iliyoanzishwa kwa ajili ya ibada ya Mola Mmoja wa kweli. Katika Surah Aal Imran, aya za 96-97, utukufu na umuhimu wa nyumba hii takatifu vinaelezwa wazi:
Habari ID: 3480792 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/05
Msomi wa Bahrain
IQNA – Kwa mujibu wa mtazamo wa Imam Khomeini (RA), Hija ni ibada isiyotenganishwa na wajibu wa kisiasa na wa kidini, amesema mwanazuoni mmoja kutoka Bahrain.
Habari ID: 3480789 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04
Hija Katika Qur'ani / 6
IQNA – Qur'ani Tukufu inawasilisha ibada za Hija kama fursa adhimu ya kujiimarisha kimaadili, kufanya mazoezi ya kujizuia, na kuandaa zana za kiroho kwa ajili ya maisha ya Akhera. Hii ni fursa isiyokadirika kwa kila Muislamu anayetafuta ukaribu na Mola wake.
Habari ID: 3480780 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/03
IQNA – Ibada ya Hija ni fursa adhimu kwa wasomaji wa Qur'ani kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu kukutana, kushirikiana na kunufaika na tajiriba za wenzao, amesema Qari mmoja kutoka Iran.
Habari ID: 3480771 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01
IQNA – Jumla ya milango 199 imewezeshwa ili kuboresha mtiririko wa Mahujaji wanaoingia na kutoka katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram na Msikiti wa Mtume, Al Masjid an Nabawi, huko Madina wakati wa msimu wa Hija.
Habari ID: 3480768 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31
Hija katika Qur’ani Tukufu /5
IQNA – Qur’an Tukufu haioneshi Hija tu kama faradhi ya mtu binafsi, bali pia kama mkusanyiko mkubwa wa pamoja wenye faida kwa mtu mmoja mmoja na kwa jamii kwa ujumla.
Habari ID: 3480757 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/30
QNA – Kufuatia tangazo la kuanza kwa mwezi wa Hijria wa Dhul Hijjah, serikali ya Saudi Arabia imepitia upya mipango ya msimu wa Hija wa mwaka huu katika kikao kilichofanyika Jumanne.
Habari ID: 3480755 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/28
Hija Katika Qur’ani /4
IQNA – Kuheshimu alama za ibada za Mwenyezi Mungu ni ishara ya usafi wa ndani wa nafsi na moyo wenye kumcha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3480751 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/28
IQNA – Zaidi ya Waislamu milioni moja kutoka nje ya Saudi Arabia wamewasili katika ufalme huo kwa ajili ya kushiriki katika ibada ya Hija ya kila mwaka, mamlaka husika zimetangaza siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3480749 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27
IQNA – Mbunge kutoka Iran ameelezea Hija kama fursa muhimu ya kukuza umoja miongoni mwa Waislamu duniani na kuimarisha juhudi za pamoja dhidi ya changamoto za pamoja.
Habari ID: 3480748 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27