IQNA – Katika vituo vya kuondokea abiria vya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mfalme Abdulaziz uliopo Jeddah, kuna jitihada tulivu na yenye baraka zinazoendelea.
Habari ID: 3482305 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/31
IQNA – Mwandishi na mwandishi wa habari kutoka Morocco amesisitiza kuwa Hija ni fursa ya kuimarisha kuishi kwa pamoja, kukubali tamaduni za wengine, na kufunguka kwa desturi na mila za mataifa mbalimbali.
Habari ID: 3482298 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/29
IQNA – Mwanazuoni mmoja wa Iran amesema kuwa Bara’ah min al-Mushrikin (kujivua na kujitenga na washirikina) ndiyo nyenzo bora zaidi ya kuifufua Hija ya Kiibrahimu.
Habari ID: 3482293 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/29
IQNA – Eid al-Adha, ambayo ni miongoni mwa sikukuu adhimu zaidi katika Uislamu, ni ukumbusho wa kisa cha kihistoria cha imani, taslimu (kujisalimisha kwa Allah), na kujitolea.
Habari ID: 3482291 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/27
IQNA – Mhadhiri mwandamizi wa Hauza (chuo kikuu cha Kiislamu) ya Qom amesema kuwa Siku ya Arafah ni “mkataba wa uhuru wa mwanadamu” na msingi wa kielimu na kiutambuzi unaomuwezesha binadamu kujinasua kutoka katika utegemezi wa nguvu zisizo za Kiungu.
Habari ID: 3482287 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/26
IQNA – Huku zaidi ya mahujaji milioni 1.6 wakijumuika katika joto kali la kiangazi, minara ya kutoa ukungu wa maji (mist), njia zenye vivuli, na mifumo ya kisasa ya kupoza hewa imesambazwa katika maeneo matakatifu ya Makka ili kuwakinga waumini dhidi ya joto kali wakati wa msimu wa Hijja wa mwaka huu.
Habari ID: 3482281 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/25
IQNA – Mkuu wa ujumbe wa Hija wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametaja ibada ya Hija kama nembo kuu ya siasa katika Uislamu
Habari ID: 3482275 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/23
IQNA – Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wameilaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia maelfu ya Wapalestina wa Gaza kusafiri kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.
Habari ID: 3482268 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22
IQNA – Kwa kuwasili kwa kundi la mwisho la Wairni mjini Madina kwa ajili ya Hija ya mwaka 1447 (2026), mchakato wa kuwasafirisha waumini kuelekea Ardhi ya Wahyi umekamilika. Zaidi ya waumini 30,000 wamesafiri kutoka nchini humo kwenda Ardhi ya Wahyi kupitia safari za ndege 130 kwa ajili ya Ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3482262 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/20
IQNA – Baada ya kuonekana kwa mwezi mwandamo katika anga ya Saudi Arabia jioni ya Jumapili, mwezi mtukufu wa Dhul‑Hijja umeanza rasmi, na kwa msingi huo Siku ya Idd al‑Adhha, itfanyika tarehe 27 Mei.
Habari ID: 3482252 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/18
IQNA – Mamlaka zinazosimamia Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume mjini Madina zimeanza kutumia mfumo wa tafsiri ya papo kwa papo kwa lugha nyingi.
Habari ID: 3482249 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/17
IQNA – Waumini wanaopanga safari ya Umra mwaka watalazimika kuzingatia kusimamishwa kwa utoaji wa vibali kwa takribani wiki sita kuanzia katikati ya Aprili hadi mwishoni mwa Mei, huku utoaji wa visa ukitarajiwa kurejea kawaida mara tu Hajj itakapokamilika.
Habari ID: 3482232 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/12
IQNA – Huku mamilioni ya Waislamu wakitarajiwa kuhudhuria ibada ya Hija mwaka huu, vikosi vya usalama vya Saudi Arabia vimeimarisha hatua za kukabiliana na watu wanaojaribu kuingia Makkah na maeneo matakatifu bila vibali rasmi vya Hija.
Habari ID: 3482222 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/10
IQNA-Licha ya kwamba safari za waumini kuelekea Hija zilianza wiki tatu zilizopita, serikali ya Saudi Arabia imepiga marufuku ghafla walio chini ya umri wa miaka 15 kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3482215 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/08
IQNA – Wakati mchakato wa kuwasafirisha waumini wa Iran kuelekea Saudi Arabia kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ukiendelea kushika kasi, idadi kubwa ya visa za Hija kwa waumini hao tayari zimetolewa.
Habari ID: 3482208 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/06
IQNA – Afisa wa Hija kutoka Iran ametangaza kuwasili kwa zaidi ya waumini 6,500 wa Kiirani mjini Madina kwa ajili ya kutekeleza Ibada ya Hija kufikia mwisho wa usiku wa Ijumaa.
Habari ID: 3482196 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/03
IQNA – Msafara wa kwanza wa Wairani wanaoshiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu umewasili Saudi Arabia.
Habari ID: 3482163 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25
IQNA – Ziara ya siku mbili ya kukagua vituo vya afya katika mji mtukufu wa Makka, ili kutathmini utayari wao kwa msimu ujao wa Hija, imekamilishwa na waziri wa afya wa Saudia.
Habari ID: 3482160 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25
IQNA – Matengenezo ya Al‑Kaaba Tukufu pamoja na Hijr Ismail yamekamilika kwa kufuata viwango vya juu vya kihandisi na kiufundi.
Habari ID: 3482153 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/19
IQNA – Uendelezaji wa Kijiji cha Hija cha Indonesia mjini Makkah ni mhimili mkuu wa ahadi ya Rais Prabowo Subianto ya kuhakikisha ibada ya Hija inakuwa nafuu zaidi, hatua inayolenga kupunguza mzigo wa kifedha kwa mamilioni ya Waislamu wa Indonesia.
Habari ID: 3481911 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/09