hija

IQNA

IQNA – Baada ya kuonekana kwa mwezi mwandamo katika anga ya Saudi Arabia jioni ya Jumapili, mwezi mtukufu wa Dhul‑Hijja umeanza rasmi, na kwa msingi huo Siku ya Idd al‑Adhha, itfanyika tarehe 27 Mei.
Habari ID: 3482252    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/18

IQNA – Mamlaka zinazosimamia Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume mjini Madina zimeanza kutumia mfumo wa tafsiri ya papo kwa papo kwa lugha nyingi.
Habari ID: 3482249    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/17

IQNA – Waumini wanaopanga safari ya Umra mwaka watalazimika kuzingatia kusimamishwa kwa utoaji wa vibali kwa takribani wiki sita kuanzia katikati ya Aprili hadi mwishoni mwa Mei, huku utoaji wa visa ukitarajiwa kurejea kawaida mara tu Hajj itakapokamilika.
Habari ID: 3482232    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/12

IQNA – Huku mamilioni ya Waislamu wakitarajiwa kuhudhuria ibada ya Hija mwaka huu, vikosi vya usalama vya Saudi Arabia vimeimarisha hatua za kukabiliana na watu wanaojaribu kuingia Makkah na maeneo matakatifu bila vibali rasmi vya Hija.
Habari ID: 3482222    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/10

IQNA-Licha ya kwamba safari za waumini kuelekea Hija zilianza wiki tatu zilizopita, serikali ya Saudi Arabia imepiga marufuku ghafla walio chini ya umri wa miaka 15 kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3482215    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/08

IQNA – Wakati mchakato wa kuwasafirisha waumini wa Iran kuelekea Saudi Arabia kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ukiendelea kushika kasi, idadi kubwa ya visa za Hija kwa waumini hao tayari zimetolewa.
Habari ID: 3482208    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/06

IQNA – Afisa wa Hija kutoka Iran ametangaza kuwasili kwa zaidi ya waumini 6,500 wa Kiirani mjini Madina kwa ajili ya kutekeleza Ibada ya Hija kufikia mwisho wa usiku wa Ijumaa.
Habari ID: 3482196    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/03

IQNA – Msafara wa kwanza wa Wairani wanaoshiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu umewasili Saudi Arabia.
Habari ID: 3482163    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25

IQNA – Ziara ya siku mbili ya kukagua vituo vya afya katika mji mtukufu wa Makka, ili kutathmini utayari wao kwa msimu ujao wa Hija, imekamilishwa na waziri wa afya wa Saudia.
Habari ID: 3482160    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25

IQNA – Matengenezo ya Al‑Kaaba Tukufu pamoja na Hijr Ismail yamekamilika kwa kufuata viwango vya juu vya kihandisi na kiufundi.
Habari ID: 3482153    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/19

IQNA – Uendelezaji wa Kijiji cha Hija cha Indonesia mjini Makkah ni mhimili mkuu wa ahadi ya Rais Prabowo Subianto ya kuhakikisha ibada ya Hija inakuwa nafuu zaidi, hatua inayolenga kupunguza mzigo wa kifedha kwa mamilioni ya Waislamu wa Indonesia.
Habari ID: 3481911    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/09

IQNA – Majina ya wanachama wa Msafara wa Qur'ani wa Nurwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, unaotarajiwa kuelekea Ufalme wa Saudi Arabia wakati wa msimu wa Hija mwaka huu, yametangazwa rasmi.
Habari ID: 3481906    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/09

IQNA – Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi Arabia siku ya Jumapili imezindua rasmi Mkutano na Maonesho ya 5 ya Hajj kwa mwaka 1447 Hijria, yanayoendelea kuanzia tarehe 9 hadi 12 Novemba 2025 katika jiji la Jeddah, chini ya kauli mbiu “Kutoka Makkah Hadi Ulimwenguni.”
Habari ID: 3481495    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/10

IQNA – Mamlaka za Ufalme wa Saudi Arabia zimetangaza mpango wa kuanzisha makumbusho ya kudumu yatakayohifadhi historia ya Hija na Misikiti Miwili Mitukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 3481304    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/29

IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu stadi za msingi za huduma ya kwanza imefanyika kwa wafanyakazi wa Msikiti Mkuu, Masjid Al Haram, ulioko katika mji mtukufu wa Makka.
Habari ID: 3481218    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/12

IQNA – Baraza la Mipango na Uratibu kutoka ofisi ya Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu katika Masuala ya Hija na Ziara, pamoja na Shirika la Hija na Ziara la Iran, wameanza maandalizi ya safari ya Hija ya mwaka ujao.
Habari ID: 3481177    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/03

IQNA – Huduma za Hija kwa Waislamu wa Afrika Kusini sasa zitawekwa chini ya usimamizi wa Baraza la Hija na Umra la Afrika Kusini (SAHUC).
Habari ID: 3480961    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18

IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimeripoti utoaji wa huduma mbalimbali kwa mahujaji na wageni waliotembelea Msikiti Mtukufu wa Makkah katika mwaka wa 1446 na mwanzoni mwa mwaka 1447 Hijria, kama sehemu ya juhudi zinazoendelea kusaidia wasafiri wa kidini na kusimamia shughuli za ibada.
Habari ID: 3480919    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09

IQNA – Shirika la Hija la Iran limetangaza kuanza upya kwa safari za kurudi nyumbani kwa Mahujaji wa Iran kwa njia ya anga na nchi kavu baada ya kufutwa safari za ndege katika anga ya Iran kufuatia hujuma ya utawala haramu wa Israel
Habari ID: 3480837    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/15

IQNA-Shirika la Hajj na Hija la Iran limetangaza Ijumaa kwamba safari zote za kurudi kwa Mahujaji wa Kiirani zimesitishwa hadi taarifa nyingine itakapotolewa, kufuatia kusimamishwa kwa safari za anga kote nchini baada ya mfululizo wa mashambulizi ya anga ya Israel.
Habari ID: 3480829    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/13