IQNA

Klipu | Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qurani Tukufu ya Iran

Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qurani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yataanza 26 Januari 2025 katika ukumbi wa Quds wa Haram ya Imam Ridha (AS), mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.

Awamu hii ya mashindano, itakayoshirikisha maqari na wahifadhi Qur'ani 57, kutoka nchi 27, itakamilika Ijumaa, tarehe 31 Bahman, kwa sherehe ya kutangaza washindi bora katika nyanja za kuhifadhi Qurani nzima, qiraa ya Tajweed) na qiraa ya Tarteel, kwa wanaume na wanawake.

Habari zinazohusiana