IQNA

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran, Kitengo cha Wanawake na Jopo lao la Majaji

IQNA - Fainali ya Awamu ya 40 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran, kitengo cha wanawake ya Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yalianza Jumamosi.

IQNA - Mashindano ya duru ya mwisho katika sehemu ya wanawake ya Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yalianza Jumamosi.
Picha zifuatazo ni za washiriki wa mashindano hayo  yanayoendelea katika Ukumbi wa Mkutano wa Tehran. Aidha katika picha hizi kuna wajumbe wa jopo la waamuzi wa kitengo hicho cha wanawake.

 
 
Habari zinazohusiana