Mashindano hayo yamewashirikisha zaidi ya watoto wadogo mia moja wa kike na kiume wenye umri wa chini ya miaka 15 kutoka makumi ya shule na jumuiya za masuala ya kheri.
Mashindano hayo ambayo yamefanyika kwa ushirikiano wa Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi, yamehudhuriwa pia wanaharakati wa masuala ya Qur'ani kutoka nchi za kandokando ya Ghuba ya Uajemi. Washiriki walishindana kuhifadhi na kusoma tajwidi ya juzuu 10, juzuu 5, zujuu mbili, hizbu moja na juzuu Amma. 381309