Mkutano wa Wakurugenzi wa jumuiya za Qur'ani Tukufu za eneo la Ulaya Mashariki na Uturuki wamekutana katika mji mkuu wa Uturuki Istanul. Mkutano huo unasimamiwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Nchi za Kiislamu OIC na Jumuiya ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'ani Tukufu.