Nakala hiyo ya Qur'ani ni moja na maandiko yenye thamani kubwa yanayohifadhiwa katika jumba hilo la makumbusho. Qur'ani hiyo imeandikwa kwenye ngozi ya swala na ina juzuu mbili.
Kila ukurasa mmoja wa nakala hiyo ya Qur'ani inayoyasibishwa kwa mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) Imam Hassan (as) ina mistari saba.
Katika ukurasa wa mwisho wa nakala hiyo inayokusanya baadhi ya sura za Qur'ani kuna maneno yanayosomeka: Imendikwa na Hassan bin Ali bin Abi Twalib katika mwaka wa …. 388924