Swala ya jamaa yaruhusiwa katika Msikiti wa Makka
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu raia na wakaazi wa ufalme huo kuswali swala za jamaa za kila siku katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Al Masjid Al Haram ).
copied
https://iqna.ir/H0EZYX