IQNA – Hamada Muhammad al-Sayyid, hafidh wa Qur'ani kutoka Misri, ameshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya kwanza ya kuhifadhi Qur'ani kwa Mahujaji, yaliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Makka
Habari ID: 3480817 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10
IQNA – Maonesho ya kudumu katika Makumbusho ya Qur'ani jijini Makkah yanawapa wageni tajiriba ya kipekee ya kiutamaduni na kiroho kupitia hati nadra za Qur'ani na nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani.
Habari ID: 3480811 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Jumla ya milango 199 imewezeshwa ili kuboresha mtiririko wa Mahujaji wanaoingia na kutoka katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram na Msikiti wa Mtume, Al Masjid an Nabawi, huko Madina wakati wa msimu wa Hija.
Habari ID: 3480768 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31
IQNA – Waumini wanaokusudia kutekeleza Ibada ya Hija wanaendelea kuwasili Saudi Arabi na kupokelewa katika Msikiti Mkuu wa Makka, ambapo makundi ya awali yaliwasili mnamo Aprili 30.
Habari ID: 3480626 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA –Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaoelekea katika ibada ya Hija nchini Saudi Arabia mwaka huu wanatarajia kuanza safari yao wiki ijayo, kulingana na
Habari ID: 3480612 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Mpango kamili umeanzishwa kuhakikisha usalama wa vyakula, dawa, na bidhaa za matibabu zinazotolewa kwa Mahujaji katika miji ya Makka na Madina wakati wa msimu ujao wa Hija.
Habari ID: 3480580 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22
IQNA – Saudi Arabia imetangaza msururu wa vikwazo na vizuizi vya kuingia mji mtakatifu wa Makka kabla ya msimu wa Hija
Habari ID: 3480533 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA – Zaidi ya waumini milioni 122 walitembelea Msikiti Mtakatifu wa Makka ambao unajulkana kama Masjid Al Haram na Msikiti wa Mtume (SAW) mjini Madina amba oni maarufu kama Al Masjid an Nabawi katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3480473 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/30
IQNA – Zaidi ya milo milioni 17 ya Futari au Iftar imesambazwa katika Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume Madina (Al Masjid an Nabawi) katika wiki tatu za kwanza za mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu..
Habari ID: 3480448 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/27
IQNA – Waumini wametakiwa kutowaleta watoto wadogo katika Msikiti Mkuu wa Makkah, Masjid al Haram, wakati wa siku za mwisho za mwezi mtukufu Ramadhani. Hii ni kutokana na eneo hili takatifu kushuhudia ongezeko kubwa la umini
Habari ID: 3480429 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/24
IQNA – Katika siku kumi za mwanzo za Mwezi Mtukufu Ramadhani, Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram, umepokea zaidi ya waumini milioni 25, idadi ambayo imevunja rekodi ya mahudhurio.
Habari ID: 3480368 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14
IQNA – Wanazuoni wa Kiislamu kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu wa Kiislamu waliokutana katika mji mtakatifu wa Makka wamefikia muafaka kuhusu Ensiklopidia ya Makubaliano ya Kifikra ya Kiislamu pamoja na Mpango wa Mkakati wa kuimarisha Umoja kati ya Madhehebu za Kiislamu.
Habari ID: 3480344 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10
IQNA – Masjid al Haram au Msikiti Mkuu katika mji mtukufu wa Makka ni mwenyeji wa maonyesho kuhusu historia ya Kaaba.
Habari ID: 3480343 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10
IQNA – Mpango wa usimamizi wa mwezi mtukufu wa Ramadhan umezinduliwa katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3480270 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/26
IQNA – Kongamano la kimataifa juu ya “Thamani za Maadili katika Quran” lilifanyika pembeni mwa mashindano ya 10 ya kijeshi ya Qur'an huko Makka.
Habari ID: 3480174 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/07
Harakati za Qur'ani
IQNA – Mamlaka ya Jumla kwa Huduma za Masuala ya Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid Al Haram) na Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawi) jijini Madina imetangaza uzinduzi vikao maalumu vya msimu wa baridi vya kusoma na kuhifadhi Qur'ani katika Msikiti Mkuu wa Makka..
Habari ID: 3479989 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01
IQNA – Video na picha zinazoonyesha mvua inayonyesha juu ya Kaaba Tukufu katika Msikiti Mkuu katika mji wa Makka zimevuma na kuvutia wengie kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3479967 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/28
Turathi za Kiislamu
IQNA - Mufti na naibu mufti wa Kyrgyzstan wameonyesha kuvutiwa kwao na turathi za kitamaduni na katika maonyesho huko Wilaya ya Utamaduni ya Hira huko Mecca.
Habari ID: 3479912 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/17
Maombolezo
IQNA – Seyed Ahmad Marateb, ambaye alikuwa Muirani wa kwanza Kuadhini juu ya paa la Kaaba Tukufu amefariki akiwa na umri wa miaka 72.
Habari ID: 3479813 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/26
Umrah
IQNA - Mamlaka ya Saudia imetangaza muda maalum kwa waumini kusali Swala za Sunna katika eneo la Hateem, linalojulikana pia kama Hijr Ismail, ambalo ni ukuta wa nusu duara ulio karibu na Kaaba Tukufu katika Msikiti Mkuu, Makka.
Habari ID: 3479751 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15