IQNA – Kozi maalum ya kiangazi ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani kwa wanawake imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka maarufu kama Masjid al Haram.
Habari ID: 3480971 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/20
IQNA – Jumanne, tarehe 15 Julai 2025, jua limeonekana moja kwa moja juu ya Al-Kaaba huko Makka, hali itakayowawezesha Waislamu kote duniani kuthibitisha mwelekeo wa Qibla kwa usahihi mkubwa.
Habari ID: 3480945 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15
IQNA – Msikiti Mtukufu wa Makka uliangaziwa na tukio la kipekee Alhamisi, ambapo shughuli ya kila mwaka ya kuosha Kaaba (Ghusl ya Kaaba) ilitekelezwa kwa heshima na taadhima kubwa.
Habari ID: 3480928 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/11
IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimeripoti utoaji wa huduma mbalimbali kwa mahujaji na wageni waliotembelea Msikiti Mtukufu wa Makkah katika mwaka wa 1446 na mwanzoni mwa mwaka 1447 Hijria, kama sehemu ya juhudi zinazoendelea kusaidia wasafiri wa kidini na kusimamia shughuli za ibada.
Habari ID: 3480919 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09
IQNA – Hamada Muhammad al-Sayyid, hafidh wa Qur'ani kutoka Misri, ameshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya kwanza ya kuhifadhi Qur'ani kwa Mahujaji, yaliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Makka
Habari ID: 3480817 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10
IQNA – Maonesho ya kudumu katika Makumbusho ya Qur'ani jijini Makkah yanawapa wageni tajiriba ya kipekee ya kiutamaduni na kiroho kupitia hati nadra za Qur'ani na nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani.
Habari ID: 3480811 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Jumla ya milango 199 imewezeshwa ili kuboresha mtiririko wa Mahujaji wanaoingia na kutoka katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram na Msikiti wa Mtume, Al Masjid an Nabawi, huko Madina wakati wa msimu wa Hija.
Habari ID: 3480768 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31
IQNA – Waumini wanaokusudia kutekeleza Ibada ya Hija wanaendelea kuwasili Saudi Arabi na kupokelewa katika Msikiti Mkuu wa Makka, ambapo makundi ya awali yaliwasili mnamo Aprili 30.
Habari ID: 3480626 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA –Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaoelekea katika ibada ya Hija nchini Saudi Arabia mwaka huu wanatarajia kuanza safari yao wiki ijayo, kulingana na
Habari ID: 3480612 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Mpango kamili umeanzishwa kuhakikisha usalama wa vyakula, dawa, na bidhaa za matibabu zinazotolewa kwa Mahujaji katika miji ya Makka na Madina wakati wa msimu ujao wa Hija.
Habari ID: 3480580 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22
IQNA – Saudi Arabia imetangaza msururu wa vikwazo na vizuizi vya kuingia mji mtakatifu wa Makka kabla ya msimu wa Hija
Habari ID: 3480533 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA – Zaidi ya waumini milioni 122 walitembelea Msikiti Mtakatifu wa Makka ambao unajulkana kama Masjid Al Haram na Msikiti wa Mtume (SAW) mjini Madina amba oni maarufu kama Al Masjid an Nabawi katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3480473 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/30
IQNA – Zaidi ya milo milioni 17 ya Futari au Iftar imesambazwa katika Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume Madina (Al Masjid an Nabawi) katika wiki tatu za kwanza za mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu..
Habari ID: 3480448 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/27
IQNA – Waumini wametakiwa kutowaleta watoto wadogo katika Msikiti Mkuu wa Makkah, Masjid al Haram, wakati wa siku za mwisho za mwezi mtukufu Ramadhani. Hii ni kutokana na eneo hili takatifu kushuhudia ongezeko kubwa la umini
Habari ID: 3480429 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/24
IQNA – Katika siku kumi za mwanzo za Mwezi Mtukufu Ramadhani, Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram, umepokea zaidi ya waumini milioni 25, idadi ambayo imevunja rekodi ya mahudhurio.
Habari ID: 3480368 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14
IQNA – Wanazuoni wa Kiislamu kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu wa Kiislamu waliokutana katika mji mtakatifu wa Makka wamefikia muafaka kuhusu Ensiklopidia ya Makubaliano ya Kifikra ya Kiislamu pamoja na Mpango wa Mkakati wa kuimarisha Umoja kati ya Madhehebu za Kiislamu.
Habari ID: 3480344 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10
IQNA – Masjid al Haram au Msikiti Mkuu katika mji mtukufu wa Makka ni mwenyeji wa maonyesho kuhusu historia ya Kaaba.
Habari ID: 3480343 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10
IQNA – Mpango wa usimamizi wa mwezi mtukufu wa Ramadhan umezinduliwa katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3480270 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/26
IQNA – Kongamano la kimataifa juu ya “Thamani za Maadili katika Quran” lilifanyika pembeni mwa mashindano ya 10 ya kijeshi ya Qur'an huko Makka.
Habari ID: 3480174 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/07
Harakati za Qur'ani
IQNA – Mamlaka ya Jumla kwa Huduma za Masuala ya Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid Al Haram) na Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawi) jijini Madina imetangaza uzinduzi vikao maalumu vya msimu wa baridi vya kusoma na kuhifadhi Qur'ani katika Msikiti Mkuu wa Makka..
Habari ID: 3479989 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01