iqna

IQNA

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio linaloshukiwa kuwa shambulio la kuchoma moto kwa chuki dhidi ya Msikiti wa Peacehaven, ulioko East Sussex, usiku wa Jumamosi.
Habari ID: 3481332    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/05

IQNA – Tukio la moto katika Msikiti wa Kituo cha Kiislamu Alhikma, ulioko Mtaa wa 32 kusini mwa Minneapolis, limezua wasiwasi mkubwa miongoni mwa viongozi wa Kiislamu, ambao sasa wanatoa wito wa uchunguzi wa kina, licha ya mamlaka za zimamoto kusema kuwa tukio hilo lilikuwa la bahati mbaya.
Habari ID: 3481310    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/01

IQNA - Polisi wa Singapore wamemkamata mwanaume mwenye umri wa miaka 61 kwa tuhuma za kutuma kifurushi chenye nyama ya nguruwe kwa makusudi ya kuwadhalilisha Waislamu. Taarifa ya tukio hilo ilitolewa Septemba 24 baada ya kifurushi hicho kutumwa katika Msikiti wa Al-Istiqamah ulioko Serangoon North Avenue 2 saa 11:20 jioni.
Habari ID: 3481293    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/27

IQNA – Mashambulizi mawili ya hivi karibuni dhidi ya msikiti mmoja huko Greater Manchester nchini Uingereza yamewaacha waumini wakihisi kutokuwa salama, kwa mujibu wa Imam wake.
Habari ID: 3481189    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/06

IQNA – Msikiti wa kihistoria wa al-Nouri, ulioko katika jiji la Mosul kaskazini mwa Iraq, umefunguliwa rasmi baada ya kukamilika kwa operesheni ya ukarabati.
Habari ID: 3481174    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Uchunguzi unaendelea mjini Mississauga, Kanada baada ya mtu mmoja kuharibu msikiti mapema mwezi huu, huku polisi wakisema ni mapema mno kusema iwapo tukio hilo lilichochewa na chuki.
Habari ID: 3481157    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30

IQNA – Huko Cedar Rapids, Iowa, msikiti wa mkongwe zaidi nchini Marekani, ambao ni jengo dogo jeupe la mbao, ni ushahidi wa kimya wa historia ndefu ya Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3481128    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti wa Oxford, nchini Uingereza na kuonya kwamba matendo ya aina hiyo huchochea uhasama na ni “tishio la moja kwa moja kwa mshikamano wa kijamii.”
Habari ID: 3481120    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22

IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeanzisha uchunguzi kufuatia jaribio la kuchoma moto chumba cha kusalia cha Waislamu mjini Châtillon-sur-Seine, tukio ambalo maafisa wamelilaani kuwa ni kitendo cha kigaidi cha uoga na chenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481095    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/16

IQNA – Pendekezo la kutangaza Adhana mara moja kwa wiki kutoka Msikiti wa Lakemba limekataliwa na baraza la eneo hilo, lakini viongozi wa jamii wamesema wamedhamiria kuendelea kutafuta suluhisho la mbele.
Habari ID: 3481077    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/13

IQNA – Viongozi wa moja ya misikiti mikubwa zaidi nchini Australia wamesema wamepokea vitisho vya kuuwawa baada ya kutangazwa mpango wa kuweka vipaza sauti vipya kwa ajili ya adhana.
Habari ID: 3481059    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09

IQNA – Mahakama moja nchini Uholanzi imebaini kuwa halmashauri ya jiji la Veenendaal ilifanya upelelezi kinyume cha sheria dhidi ya taasisi ya Kiislamu ya Taubah na msikiti wake bila ridhaa yao.
Habari ID: 3481030    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/02

IQNA – Polisi katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen, wameanzisha uchunguzi kuhusiana na shambulio lililofanywa na kundi la vijana wa mrengo mkali dhidi ya Msikiti wa Imam Ali (AS).
Habari ID: 3480982    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/22

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kupitia kamera za usalama (CCTV) kufuatia tukio lililoripotiwa la matusi ya maneno dhidi ya waumini nje ya msikiti ulioko Haverhill, Suffolk.
Habari ID: 3480931    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12

IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya huduma za mazishi ya Kiislamu kutoka kwa jamii za ndani na za mikoa jirani.
Habari ID: 3480705    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19

IQNA – Italia imemrudisha Ufaransa mtuhumiwa katika kesi ya mauaji ya kijana Mwislamu katika msikiti wa Ufaransa.
Habari ID: 3480664    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/10

IQNA – Wabunge wa Ufaransa siku ya Jumanne walikusanyika kwa heshima kuu kumkumbuka Muislamu aliyepoteza maisha katika shambulio la kusikitisha ndani ya msikiti uliopo kusini mwa nchi hiyo. 
Habari ID: 3480619    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30

IQNA – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ireland umefungwa kwa muda kufuatia mzozo wa ndani
Habari ID: 3480593    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25

IQNA-Msikiti wa UKIM Sparkbrook Islamic Centre huko Birmingham, Uingereza, umesifiwa kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Birmingham kukusanya tani 120 za taka.
Habari ID: 3480530    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12

IQNA – Mwanaume mmoja kutoka mji wa Widnes, Uingereza, amekamatwa na kufunguliwa mashtaka kuhusiana na tukio la wizi katika msikiti wa Warrington.
Habari ID: 3480525    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11