iqna

IQNA

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kupitia kamera za usalama (CCTV) kufuatia tukio lililoripotiwa la matusi ya maneno dhidi ya waumini nje ya msikiti ulioko Haverhill, Suffolk.
Habari ID: 3480931    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12

IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya huduma za mazishi ya Kiislamu kutoka kwa jamii za ndani na za mikoa jirani.
Habari ID: 3480705    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19

IQNA – Italia imemrudisha Ufaransa mtuhumiwa katika kesi ya mauaji ya kijana Mwislamu katika msikiti wa Ufaransa.
Habari ID: 3480664    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/10

IQNA – Wabunge wa Ufaransa siku ya Jumanne walikusanyika kwa heshima kuu kumkumbuka Muislamu aliyepoteza maisha katika shambulio la kusikitisha ndani ya msikiti uliopo kusini mwa nchi hiyo. 
Habari ID: 3480619    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30

IQNA – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ireland umefungwa kwa muda kufuatia mzozo wa ndani
Habari ID: 3480593    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25

IQNA-Msikiti wa UKIM Sparkbrook Islamic Centre huko Birmingham, Uingereza, umesifiwa kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Birmingham kukusanya tani 120 za taka.
Habari ID: 3480530    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12

IQNA – Mwanaume mmoja kutoka mji wa Widnes, Uingereza, amekamatwa na kufunguliwa mashtaka kuhusiana na tukio la wizi katika msikiti wa Warrington.
Habari ID: 3480525    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

Waislamu Australia
IQNA – Msikiti mmoja mkubwa nchini Australia umeomba rasmi ruhusa ya kuanza kutumia vipaza sauti kuadhini katika kitongoji cha Lakemba, jiji la Sydney.
Habari ID: 3480505    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/07

IQNA – Jumuiya ya Kiislamu ya Altrincham & Hale imetangaza mipango ya kuhamia kutoka eneo lake la sasa kwenye Grove Lane kwenda kwenye Kituo cha Kiislamu na msikiti kilichojengwa mahsusi kwenye Thorley Lane huko Timperley. 
Habari ID: 3480481    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01

Ibada
IQNA-Eneo kubwa la Swala la Tehran maarufu kama Mosalla Imam Khomeini litapanuliwa na kuwa msikiti mkubwa zaidi duniani.
Habari ID: 3480275    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/27

IQNA – Idadi kubwa ya Wapalestina walihudhuria mazishi yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Al-Quds siku ya Jumatatu kwa ajili ya msomaji wa Qur'ani Tukufu wa Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3480268    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25

IQNA – Mkuu wa Msikiti wa Jamia wa Algiers amesema kuwa Kituo cha Dar-ul-Qur'an cha msikiti huo kiko tayari kupokea wanafunzi kutoka nchi jirani za Afrika.
Habari ID: 3480242    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20

Waislamu Japan
IQNA – Taasisi ya Cinta Quran ya Indonesia, imeanzisha ujenzi wa Msikiti wa As-Sholihin huko Yokohama, Japan.
Habari ID: 3480034    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/11

Waislamu wa Marekani
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Naperville (ICN) nchini Marekani kimekamilisha awamu ya awali ya mradi wake mpya wa msikiti wa futi za mraba 28,400 kwenye barabara ya 248th Avenue.
Habari ID: 3479929    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21

Jinai za Israel
IQNA - Uchunguzi uliofanywa na kundi moja la kutetea haki za binadamu unaonyesha kuwa msikiti uliolengwa na wanajeshi wa Israel wakati wa sala ya alfajiri mwezi Novemba mwaka jana haukuwa na wanajeshi wakati wa shambulio hilo.
Habari ID: 3479926    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20

Jinai za Israel
IQNA - Kundi la walowezi haramu wa Kizayuni wa utawala haramu Israel wamechoma moto Msikiti wa Bir Al-Walidain katika kijiji cha Marda, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3479925    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20

Mazingira
IQNA - Msikiti wa kwanza wa Asia Magharibi ambao unazalisha nishati zaidi kuliko unavyotumia (net positive energy), umefunguliwa huko Dubai, UAE.
Habari ID: 3479721    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/09

Chuki Dhidi ya Uislamu
IQNA - Msikiti wa Imam Ridha (AS) umeshambuliwa na kuteketezwa moto huko New Lynn, Auckland, nchini New Zealand kuharibiwa vibaya, huku jamii ya Waislamu ikishtushwa na tukio hilo.
Habari ID: 3479710    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06

Waislamu Kenya
IQNA - Chuo Kikuu cha Nairobi hatimaye kitakuwa na msikiti mdogo kwenye kampasi kuu ya taasisi hiyo muhimu zaidi ya elimu nchini Kenya.
Habari ID: 3479597    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/15

Jinai za Israel
IQNA-Mashambulizi  kinyama ya anga yanayofanywa na  katili la utawala wa Kizayuni wa Israel yameteketeza kikamilifu msikiti wa kale na kubomoa soko kusini mwa Lebanon, katika kile kilichoelezewa kama "uangamizaji wa kila kitu".
Habari ID: 3479586    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13