msikiti

IQNA

IQNA — Katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, dua za Waislamu wa Ufilipino mjini Manila zinabeba ombi maalumu.
Habari ID: 3481996    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26

IQNA – Kwa karne nyingi, Msikiti Mkuu wa Omari umesimama kama mlinzi kimya wa historia ya kielimu ya Gaza, hukoo Palestina huku maktaba yake ikihifadhi maandiko ya kale yaliyoandika simulizi za kupanda na kushuka kwa ustaarabu mbalimbali.
Habari ID: 3481992    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25

IQNA – Katika mji unaojulikana kwa urithi wake wa Kikatoliki, Msikiti wa Sheikh Ibrahim Al‑Ibrahim unatoa mahali pa utulivu wa kina na ibada ya kiroho.
Habari ID: 3481989    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25

IQNA – Kipindi maalumu cha Qur'ani kwa ajili ya kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani kinatarajiwa kutayarishwa na mwanaharakati wa vyombo vya habari wa Misri, Amr Al‑Laithi.
Habari ID: 3481944    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/16

IQNA – Katikati ya Jiji la Kuwait, mji mkuu wa nchi ya Kuwait, kuna moja ya misikiti mikubwa zaidi duniani, ambao si tu mahali pa ibada kwa maelfu ya waumini, bali pia ni jengo lenye uzito wa kiutamaduni na kielimu.
Habari ID: 3481904    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08

IQNA- Mlipuko mkubwa umetikisa msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika viunga vya mji mkuu wa Pakistan wakati wa sala ya Ijumaa, na ambapo watu wasiopungua 31 wameuawa shahidi huku wengine wasiopungua 169 wakijeruhiwa. Kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limetangaza kuhusika na hujuma hiyo.
Habari ID: 3481895    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/07

IQNA – Darasa la mafunzo ya Qur’ani linaloendelea katika Kituo cha Kiislamu cha São Paulo linatoa mfano wa vitendo wa jinsi ya kuunganisha Qur’ani, familia, elimu na jamii katika mfumo mmoja ulio thabiti ndani ya mazingira ya msikiti .
Habari ID: 3481827    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/21

IQNA – Utawala ghasibu wa Israel umetangaza mipango ya kuweka vizuizi kwa waumini Waislamu wanaotaka kufika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem0, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481807    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/15

IQNA – Winga chipukizi wa Klabu ya Soka ya Barcelona na Hispania, Lamine Yamal, amesema kutembelea msikiti humpa mtu utulivu wa kipekee bila kujali dini anayofuata.
Habari ID: 3481781    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/08

IQNA – Naibu mkurugenzi wa kitamaduni wa Msikiti wa Jamkaran mjini Qom, Iran, amesema zaidi ya watu 16,000 wamesajiliwa kushiriki katika ibada ya Itikafu ya mwezi wa Rajab.
Habari ID: 3481764    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/04

IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
Habari ID: 3481727    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28

Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (AS) katika kitongoji cha Wadi al Dhahab katika mkoa wa Homs , Syria na kuuwa watu 5 na kujeruhi wengine 21.
Habari ID: 3481719    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/26

IQNA – Msikiti wa Hunkar uliopo Bucharest, mji mkuu wa Romania, unasimama kama alama ya jadi ya nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Ulaya katika kuenzi uvumilivu wa kidini na maisha ya pamoja kwa amani.
Habari ID: 3481668    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/16

IQNA-Jamii ya wakazi na majirani wa jiji la Norfolk, jimbo la Virginia nchini Marekani, wamejitokeza kwa wingi kusafisha na kurejesha hadhi ya Msikiti wa Masjid Ash Shura baada ya kuchafuliwa kwa maandishi ya chuki, huku polisi wakiomba msaada wa umma kumtambua mtuhumiwa.
Habari ID: 3481650    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12

IQNA – Baraza Kuu la Waislamu Ufaransa (CFCM) limesema waumini wameshtushwa na kuumizwa sana baada ya mtu kuvamia msikiti ulioko kusini-kati mwa Ufaransa na kurarua nakala za Qur’ani Tukufu kisha kuzitupa chini.
Habari ID: 3481605    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02

IQNA – Papa Leo XIV amefanya ziara yake ya kwanza katika nyumba ya ibada ya Kiislamu Jumamosi, akitembelea Msikiti wa kihistoria wa Sultan Ahmed mjini Istanbul, unaojulikana duniani kama Blue Mosque, katika ziara yake nchini Uturuki.
Habari ID: 3481586    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/29

IQNA – Jeshi la Polisi wa Kaunti ya Richland limethibitisha kukamatwa kwa mwanamume aliyeingia msikiti mmoja wa South Carolina, Marekani, wakati wa sala huku akiwa na bunduki aina ya AR-15.
Habari ID: 3481552    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/22

IQNA – Shambulio lililofanywa na kundi la walowezi haramu wa Kizayuni dhidi ya msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israel Ukingo wa Magharibi limeibua ghadhabu na ukemeaji kutoka pande mbalimbali duniani.
Habari ID: 3481520    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/15

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimelaani mlipuko wa bomu uliotokea katika msikiti mjini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, wakati wa Sala ya Ijumaa, na kujeruhi watu kadhaa.
Habari ID: 3481486    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/08

IQNA-Operesheni ya pamoja ya kukabiliana na ugaidi kati ya Jamhuri ya Ireland na Ireland Kaskazini imefanikiwa kuzuia shambulio lililopangwa dhidi ya msikiti na vituo vya wahamiaji, na kupelekea kunaswa vilipuzi na kufikishwa mahakamani kwa wanaume wawili ambao sasa wanakabiliwa na mashtaka yanayohusiana na tukio hilo.
Habari ID: 3481483    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/08