IQNA – Huko Cedar Rapids, Iowa, msikiti wa mkongwe zaidi nchini Marekani, ambao ni jengo dogo jeupe la mbao, ni ushahidi wa kimya wa historia ndefu ya Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3481128 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti wa Oxford, nchini Uingereza na kuonya kwamba matendo ya aina hiyo huchochea uhasama na ni “tishio la moja kwa moja kwa mshikamano wa kijamii.”
Habari ID: 3481120 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22
IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeanzisha uchunguzi kufuatia jaribio la kuchoma moto chumba cha kusalia cha Waislamu mjini Châtillon-sur-Seine, tukio ambalo maafisa wamelilaani kuwa ni kitendo cha kigaidi cha uoga na chenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481095 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/16
IQNA – Pendekezo la kutangaza Adhana mara moja kwa wiki kutoka Msikiti wa Lakemba limekataliwa na baraza la eneo hilo, lakini viongozi wa jamii wamesema wamedhamiria kuendelea kutafuta suluhisho la mbele.
Habari ID: 3481077 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/13
IQNA – Viongozi wa moja ya misikiti mikubwa zaidi nchini Australia wamesema wamepokea vitisho vya kuuwawa baada ya kutangazwa mpango wa kuweka vipaza sauti vipya kwa ajili ya adhana.
Habari ID: 3481059 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09
IQNA – Mahakama moja nchini Uholanzi imebaini kuwa halmashauri ya jiji la Veenendaal ilifanya upelelezi kinyume cha sheria dhidi ya taasisi ya Kiislamu ya Taubah na msikiti wake bila ridhaa yao.
Habari ID: 3481030 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/02
IQNA – Polisi katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen, wameanzisha uchunguzi kuhusiana na shambulio lililofanywa na kundi la vijana wa mrengo mkali dhidi ya Msikiti wa Imam Ali (AS).
Habari ID: 3480982 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/22
IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kupitia kamera za usalama (CCTV) kufuatia tukio lililoripotiwa la matusi ya maneno dhidi ya waumini nje ya msikiti ulioko Haverhill, Suffolk.
Habari ID: 3480931 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya huduma za mazishi ya Kiislamu kutoka kwa jamii za ndani na za mikoa jirani.
Habari ID: 3480705 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19
IQNA – Italia imemrudisha Ufaransa mtuhumiwa katika kesi ya mauaji ya kijana Mwislamu katika msikiti wa Ufaransa.
Habari ID: 3480664 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/10
IQNA – Wabunge wa Ufaransa siku ya Jumanne walikusanyika kwa heshima kuu kumkumbuka Muislamu aliyepoteza maisha katika shambulio la kusikitisha ndani ya msikiti uliopo kusini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3480619 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ireland umefungwa kwa muda kufuatia mzozo wa ndani
Habari ID: 3480593 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25
IQNA-Msikiti wa UKIM Sparkbrook Islamic Centre huko Birmingham, Uingereza, umesifiwa kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Birmingham kukusanya tani 120 za taka.
Habari ID: 3480530 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12
IQNA – Mwanaume mmoja kutoka mji wa Widnes, Uingereza, amekamatwa na kufunguliwa mashtaka kuhusiana na tukio la wizi katika msikiti wa Warrington.
Habari ID: 3480525 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11
Waislamu Australia
IQNA – Msikiti mmoja mkubwa nchini Australia umeomba rasmi ruhusa ya kuanza kutumia vipaza sauti kuadhini katika kitongoji cha Lakemba, jiji la Sydney.
Habari ID: 3480505 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/07
IQNA – Jumuiya ya Kiislamu ya Altrincham & Hale imetangaza mipango ya kuhamia kutoka eneo lake la sasa kwenye Grove Lane kwenda kwenye Kituo cha Kiislamu na msikiti kilichojengwa mahsusi kwenye Thorley Lane huko Timperley.
Habari ID: 3480481 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01
Ibada
IQNA-Eneo kubwa la Swala la Tehran maarufu kama Mosalla Imam Khomeini litapanuliwa na kuwa msikiti mkubwa zaidi duniani.
Habari ID: 3480275 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/27
IQNA – Idadi kubwa ya Wapalestina walihudhuria mazishi yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Al-Quds siku ya Jumatatu kwa ajili ya msomaji wa Qur'ani Tukufu wa Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3480268 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25
IQNA – Mkuu wa Msikiti wa Jamia wa Algiers amesema kuwa Kituo cha Dar-ul-Qur'an cha msikiti huo kiko tayari kupokea wanafunzi kutoka nchi jirani za Afrika.
Habari ID: 3480242 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20
Waislamu Japan
IQNA – Taasisi ya Cinta Quran ya Indonesia, imeanzisha ujenzi wa Msikiti wa As-Sholihin huko Yokohama, Japan.
Habari ID: 3480034 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/11