IQNA – Darasa la mafunzo ya Qur’ani linaloendelea katika Kituo cha Kiislamu cha São Paulo linatoa mfano wa vitendo wa jinsi ya kuunganisha Qur’ani, familia, elimu na jamii katika mfumo mmoja ulio thabiti ndani ya mazingira ya msikiti .
Habari ID: 3481827 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/21
IQNA – Utawala ghasibu wa Israel umetangaza mipango ya kuweka vizuizi kwa waumini Waislamu wanaotaka kufika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem0, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481807 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/15
IQNA – Winga chipukizi wa Klabu ya Soka ya Barcelona na Hispania, Lamine Yamal, amesema kutembelea msikiti humpa mtu utulivu wa kipekee bila kujali dini anayofuata.
Habari ID: 3481781 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/08
IQNA – Naibu mkurugenzi wa kitamaduni wa Msikiti wa Jamkaran mjini Qom, Iran, amesema zaidi ya watu 16,000 wamesajiliwa kushiriki katika ibada ya Itikafu ya mwezi wa Rajab.
Habari ID: 3481764 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/04
IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
Habari ID: 3481727 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28
Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (AS) katika kitongoji cha Wadi al Dhahab katika mkoa wa Homs , Syria na kuuwa watu 5 na kujeruhi wengine 21.
Habari ID: 3481719 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/26
IQNA – Msikiti wa Hunkar uliopo Bucharest, mji mkuu wa Romania, unasimama kama alama ya jadi ya nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Ulaya katika kuenzi uvumilivu wa kidini na maisha ya pamoja kwa amani.
Habari ID: 3481668 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/16
IQNA-Jamii ya wakazi na majirani wa jiji la Norfolk, jimbo la Virginia nchini Marekani, wamejitokeza kwa wingi kusafisha na kurejesha hadhi ya Msikiti wa Masjid Ash Shura baada ya kuchafuliwa kwa maandishi ya chuki, huku polisi wakiomba msaada wa umma kumtambua mtuhumiwa.
Habari ID: 3481650 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12
IQNA – Baraza Kuu la Waislamu Ufaransa (CFCM) limesema waumini wameshtushwa na kuumizwa sana baada ya mtu kuvamia msikiti ulioko kusini-kati mwa Ufaransa na kurarua nakala za Qur’ani Tukufu kisha kuzitupa chini.
Habari ID: 3481605 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02
IQNA – Papa Leo XIV amefanya ziara yake ya kwanza katika nyumba ya ibada ya Kiislamu Jumamosi, akitembelea Msikiti wa kihistoria wa Sultan Ahmed mjini Istanbul, unaojulikana duniani kama Blue Mosque, katika ziara yake nchini Uturuki.
Habari ID: 3481586 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/29
IQNA – Jeshi la Polisi wa Kaunti ya Richland limethibitisha kukamatwa kwa mwanamume aliyeingia msikiti mmoja wa South Carolina, Marekani, wakati wa sala huku akiwa na bunduki aina ya AR-15.
Habari ID: 3481552 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/22
IQNA – Shambulio lililofanywa na kundi la walowezi haramu wa Kizayuni dhidi ya msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israel Ukingo wa Magharibi limeibua ghadhabu na ukemeaji kutoka pande mbalimbali duniani.
Habari ID: 3481520 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/15
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimelaani mlipuko wa bomu uliotokea katika msikiti mjini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, wakati wa Sala ya Ijumaa, na kujeruhi watu kadhaa.
Habari ID: 3481486 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/08
IQNA-Operesheni ya pamoja ya kukabiliana na ugaidi kati ya Jamhuri ya Ireland na Ireland Kaskazini imefanikiwa kuzuia shambulio lililopangwa dhidi ya msikiti na vituo vya wahamiaji, na kupelekea kunaswa vilipuzi na kufikishwa mahakamani kwa wanaume wawili ambao sasa wanakabiliwa na mashtaka yanayohusiana na tukio hilo.
Habari ID: 3481483 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/08
IQNA – Takriban watu 54 wamejeruhiwa kufuatia mlipuko uliotokea katika msikiti ulioko ndani ya eneo la shule jijini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, siku ya Ijumaa, kwa mujibu wa taarifa za polisi wa eneo hilo.
Habari ID: 3481481 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/07
IQNA – Mkutano wa 4 wa Kimataifa kuhusu Usanifu wa Misikiti wa mwaka 2025 uliofanyika mjini Istanbul, Uturuki, umesisitiza haja ya kufikiria upya nafasi ya misikiti katika jamii za kisasa.
Habari ID: 3481478 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/07
IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki anapanga kusafiri kuelekea nchini Uturuki, ambapo atatembelea Msikiti wa Sultan Ahmed maarufu kama Blue Mosque, ulioko mjini Istanbul.
Habari ID: 3481433 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/29
IQNA – Polisi nchini New Zealand wanafanya uchunguzi kuhusu tishio la bomu lililolenga Msikiti wa Kilbirnie uliopo Wellington, hali iliyosababisha kusitishwa kwa shughuli zote za msikiti huo kwa muda.
Habari ID: 3481411 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/25
IQNA – Jumuiya ya Waislamu wa jiji la Winnipeg, mji mkuu wa jimbo la Manitoba nchini Kanada (Canada), walikusanyika mwishoni mwa wiki hii kusherehekea ufunguzi rasmi wa msikiti mpya katika jiji hilo.
Habari ID: 3481392 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/21
IQNA – "Misikiti katika Uislamu" ni jina la maonyesho ya sanaa yaliyozinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Paris, mji mkuu wa Ufaransa.
Habari ID: 3481379 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/18