IQNA

Kuanza mpango wa kusambaza Qur’ani katika vijiji vya Saudia na Yemen

11:01 - November 23, 2008
Habari ID: 1711424
Mpango wa kusambaza nakala za Qur’ani Tukufu katika maeneo ya vijijini ya Saudi Arabia na Yamen umeanza kutekelezwa na kundi la vijana wa Kisaudi.
Gazeti la Arab News limeripoti kuwa kundi hilo la vijana linakusanya nuskha za Qur’ani zisizotumiwa majumbani na kuzisambazwa kwa Waislamu wa Saudi Arabia na Yemen.
Inatazamiwa kuwa nakala 1500 zitakusanywa katika mpango huo utakaoendelea hadi siku ya Ijumaa ijayo. 323901
captcha