Mwaka huu siku ya Ashura, 10 Muharram 1432 ilisadifiana na Agosti 30 2020. Kutokana na janga la COVID-19, Waislamu katika mengi duniani, hawakujitokeza mitaana kama ilivyo adha bali wameshiriki katika maombolezo ya Ashura katika maeneo maalumu kama wanavyoonekana hapa wanafunzi katika moja ya madrassah mjini humo.