iqna

IQNA

ashura
TEHRAN (IQNA) – Lengo la harakati ya Imam Hussein (AS) lilikuwa ni kuonyesha kwa jamii kwamba kuna mtazamo mzuri zaidi kwa dini na kile ambacho watawala wa Bani Umayya wanafanya kwa jina la dini si sahihi.
Habari ID: 3477592    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/13

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Wafanyaziara milioni 16 wameingia Karbala, Iraq katika siku 10 za kwanza za mwezi wa Muharram mwaka huu wa 1445 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3477358    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30

Muharram 1435
NAIROBI (IQNA)- Waislamu, hasa wa madhehebu ya Shia, wamejumuika katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (as) katika siku ya Ashura.
Habari ID: 3477357    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30

Muharram 1435
TEHRAN (IQNA)- Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo wameshiriki shughuli ya siku ya Ashura ya kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).
Habari ID: 3477351    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Katika siku kama hii ya leo miaka 1384 iliyopita kulingana na kalenda ya Hijria, moja kati ya vita mashuhuri katika historia ya Uislamu na mwanadamu, vilitokea baina ya majeshi ya haki na majeshi ya batili katika ardhi ya Karbala huko Iraq.
Habari ID: 3477348    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo tarehe 9 Mfunguo Nne Muharram wameshiriki katika vikao, majlisi na shughuli za maombolezo ya Tasua.
Habari ID: 3477347    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/27

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya mapambano ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS) hapo mwaka 61 Hijria dhidi ya dhulma na ufisadi wa Bani Umayya ilijaa hamasa, kujitolea na kusabilia kila kitu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, haki na uadilifu, na kwa sababu hiyo imegusa sana nyoyo za Waislamu na hata wapenda haki na kweli wasio Waislamu na kuzusha vuguvugu na hamasa ya aina yake ndani ya nafsi za wapenzi wa mtukufu huyo.
Habari ID: 3477343    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/26

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliingia kwenye mitaa ya New York katika maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3477338    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/25

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, mapambano ya watu wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa mapambano ya Ashura katika jangwa la Karbala mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3475790    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Wahusika wa Karbala /3
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria au 680 Miladia, mrengo wa haki na ukweli ulikabiliana na mrengo wa batili na uwongo.
Habari ID: 3475784    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/14

Wahusika wa Karbala /2
TEHRAN (IQNA) -Vita vya Karbala vinaleta mafunzo mengi. Miaka 1383 iliyopita tarehe 10 Muharram katika siku ya Ashura, moja kati ya vita mashuhuri katika historia ya Kiislamu na ya mwanadamu, vilitokea baina ya majeshi ya haki na batili katika ardhi ya Karbala katika Iraq ya leo.
Habari ID: 3475769    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12

Wahusika wa Karbala /1
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria Qamaria au 680 Miladia, pande za ukweli zilikabili upande wa batili na uongo.
Habari ID: 3475763    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) – Idara ya afya ya mkoa wa Karbala nchini Iraq imezindua mpango maalum wa afya kwa ajili ya maombolezo ya Arbaeen ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475739    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA)- Imamu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema, kwa muda wote walipokuwa wakishikiliwa mateka, mateka wa kivita wa Iran walizigeuza kambi za Kibaathi madrasa za mafunzo na mafundisho ya Ashura.
Habari ID: 3475645    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/19

TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa mamlaka za Iraq, zaidi ya wafanyaziarai milioni sita walitembelea maeneo matakatifu ya Karbala siku ya Jumanne, Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475606    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Ashura
TEHRAN (IQNA)- Leo ni Jumatatu tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram 1444 Hijria Qamaria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2022. Hii ni Siku ya Ashura ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani hukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3475595    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Ashura
TEHRAN (IQNA) – Mwamko Ashura ni kielelezo cha kipekee cha mapambano dhidi ya mifumo mbovu ya kisiasa na njia mbovu za utawala.
Habari ID: 3475587    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06

Hali ya Waislamu Bahrain
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa kiimla wa Bahrain umeshadidisha ukandamizaji wake wa kikatili dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo kabla ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475577    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Mwezi wa Muharram
TEHRAN (IQNA)- Julai 30, 2022 imesadifiana ni tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram mwaka 1444 Hijria Qamaria. Huu ni mwezi ambao Waislamu na wapenda haki duniani hukumbuka mapambano ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475565    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

TEHRAN (IQNA)- Siku ya kwanza ya tamthilia ya kimataifa Taaziya imefanyika mjini Tehran katika medani ya Imam Hussein AS huku kukiwa na makundi ya wanatamthilia kutoka Nigeria na mji wa Isfahan, kati mwa Iran.
Habari ID: 3475551    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/28