iqna

IQNA

IQNA – Maonesho ya kaligrafia ya maandishi ya Kiarabu ya siku tatu yaliyopewa jina "Katika Njia ya Ashura" yamefunguliwa katika eneo tukufu la Bayn al-Haramayn—kati ya makaburi ya Imam Hussein (AS) na Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480948    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15

IQNA – Kama ilivyokuwa katika miaka iliyopita, mamlaka za Bahrain zimeendelea kuweka vizuizi juu ya maombolezo ya Muharram, hasa katika siku ya Ashura, mwaka huu pia.
Habari ID: 3480936    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran ameelezea kuwa Surat al-Fajr katika Qur'an Tukufu ni sura iliyo na uhusiano wa karibu sana na urithi wa Imam Hussein (AS), akiitaja kuwa ni tafakuri ya kina kuhusu falsafa ya mapinduzi ya Karbala.
Habari ID: 3480918    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09

IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetoa taarifa mchana wa Jumapili ikitangaza mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa usalama kwa ajili ya maombolezo ya mwaka huu ya Siku ya Ashura mjini Karbala.
Habari ID: 3480913    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07

IQNA – Tukio la jadi wa maombolezo ya Ashura unaojulikana kama Rakdha Tuwairaj limefanyika mjini mtakatifu wa Karbala, Iraq, siku ya Jumapili.
Habari ID: 3480911    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa mwamko wa Imam Hussein (AS) dhidi ya Yazid bin Muawiya unabaki kuwa mfano wa milele wa kupambana na dhulma za zama hizi na uonevu wa kimataifa.
Habari ID: 3480908    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06

IQNA – Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq una nafasi ya kipekee katika mioyo ya watu wote.
Habari ID: 3480907    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06

IQNA-Jumapili ya leo ya tarehe 6 Julai inasadifiana na mwezi kumi Muharram 1447 Hijria, siku ya A'shura ya kukumbuka kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhamma (SAW), mmoja wa mabwana wawili wa vijana wa peponi, Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480905    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06

IQNA-Maelfu kwa maelfu ya waombolezaji walikusanyika katika mji mtukufu wa Karbala nchini Iraq, usiku wa Ashura, kuadhimisha kuuawa shahidi kwa Imam Hussein (AS), katika mojawapo ya hafla kubwa zaidi za kidini katika kalenda ya Kiislamu.
Habari ID: 3480904    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amekataa wazo la kusalimisha au kuachana na silaha za harakati hiyo ya mapambano, akisema kuwa wanaotaka hilo wanapaswa kwanza kulaani na kutaka mwisho wa uvamizi wa Israeli dhidi ya Lebanon.
Habari ID: 3480902    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/05

IQNA – Wasimamizi wa Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza kukamilika kwa maandalizi katika milango yote ya kuingilia kaburi hilo takatifu  kwa ajili ya kuwapokea waumini wanaoshiriki katika tukio la kuomboleza linalojulikana kama Tuwairaj.
Habari ID: 3480899    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/05

IQNA – Idara ya kiufundi na uhandisi ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza kutekelezwa kwa mradi maalumu wa kiyoyozi unaolenga kuwawekea mazingira mazuri kwa ajili ya wafanyaziara ji katika siku za maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3480894    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri kutoka Iran amesisitiza umuhimu mkubwa wa mapinduzi ya Imam Hussein (AS) katika kufufua uhai wa Uislamu wa kweli na kufichua unafiki uliokuwa umejificha ndani ya umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3480882    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/02

IQNA-Iran imetangaza kaulimbiu rasmi ya matembezi adhimu ya ya Arbaeen mwaka 1447 (2025), ni Inna Ala Al-Ahd" (Tuko Katika Ahadi") ili kuonyesha uaminifu kwa maadili ya Imam Hussein (AS). 
Habari ID: 3480646    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06

IQNA - Milio ya risasi karibu na msikiti mmoja nchini Oman kuelekea mkusanyiko wa waombolezaji wa Kishia imesababisha vifo vya takriban watu wanne na kuwaacha wengine kadhaa kujeruhiwa.
Habari ID: 3479135    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/16

IQNA - Bendera nyekundu za Haram (kaburi) Tukufu ya mam Hussein (AS) na Aba Al- Fadhl Al-Abbas (AS) zilishushwa na bendera nyeusi za maombolezo zikapandishwa kwenye majumba ya makaburi hayo siku ya Jumatatu huko Iraq Karbala.
Habari ID: 3479098    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/09

IQNA - Wanazuoni waandamizi wa Bahrain walisisitiza ulazima wa kutumia uwezo wote kutangaza ujumbe wa Imam Hussein (AS) kuhusu mauaji aliyofanyiwa siku ya Ashura.
Habari ID: 3479097    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/09

TEHRAN (IQNA) – Lengo la harakati ya Imam Hussein (AS) lilikuwa ni kuonyesha kwa jamii kwamba kuna mtazamo mzuri zaidi kwa dini na kile ambacho watawala wa Bani Umayya wanafanya kwa jina la dini si sahihi.
Habari ID: 3477592    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/13

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Wafanyaziara milioni 16 wameingia Karbala, Iraq katika siku 10 za kwanza za mwezi wa Muharram mwaka huu wa 1445 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3477358    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30

Muharram 1435
NAIROBI (IQNA)- Waislamu, hasa wa madhehebu ya Shia, wamejumuika katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (as) katika siku ya Ashura.
Habari ID: 3477357    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30