iqna

IQNA

kenya
NAIROBI (IQNA) - Waislamu wa Kenya wameitaka serikali ya nchi hiyo ya Kiafrika kuvunja uhusiano na utawala wa Israel kutokana na mauaji yake ya watu wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477745    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17

Diplomasia
KAMPALA (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyashambulia madola ya Maagharibi kutokana na hatua yao ya kutetea vitendo vichafu vya ushoga na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja.
Habari ID: 3477275    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/13

Katika safari ya Rais Ebrahim Raisi nchini Kenya
NAIROBI (IQNA)- Marais William Ruto wa Kenya na Ebrahim Raisi wa Iran wamesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika sekta mbali mbali. Hayo yamebainika katika hotuba za marais hao leo mjini Nairobi baada ya mazungumzo.
Habari ID: 3477268    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12

Mauaji
TEHRAN (IQNA)- Rais William Ruto wa Kenya ameunda tume ya kuchunguza mauaji katika kanisa moja katika kaunti ya Kilifi eneo la pwani nchini humo na halikadhalika ameunda jopo kazi la kuchunguza taasisi za kidini nchini humo.
Habari ID: 3476958    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Rais William Ruto wa Kenya amewatumia Waislamu salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka 1444 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3476754    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24

Waislamu Kenya
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Kenya William Ruto alisitisha hotuba yake siku ya Jumatatu ili kuonyesha heshima kwa Adhan, ambayo pia inajulikana kama wito wa Kiislamu kwa maombi.
Habari ID: 3476671    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/07

Waislamu na Siasa Kenya
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya amemuonya mwanasiasa maarufu Muislamu nchini humo kuhusu kuutumia Msikiti kama jukwaa la kisiasa.
Habari ID: 3476376    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08

Waislamu Kenya
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Ulinzi nchini Kenya, Aden Duale Jumanne ameunga mkono vazi la Hijabu ambapo amewataka wanokerwa na wanawake wa Kiislamu kuvaa vazi hilo la stara nchini Kenya watafute nchi nyingine ya kuishi.
Habari ID: 3476284    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/21

Hali ya Quds
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel hauna mamlaka yoyote katika mji wa Quds (Jerusalem) na kwamba Hamas itaendelea kuupigania mji huo hadi utakapokombolewa.
Habari ID: 3475435    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/28

QOM (IQNA)- Balozi wa Jamhuri ya Kenya nchini Iran Mh. Joshua Gatimu ametembelea Haram Takatifu ya Bibi Maasuma - Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-katika mji wa Qum.
Habari ID: 3475222    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08

TEHRAN (IQNA) - Januari 11 2022 ilikuwa siku ya huzuni kwa Waislamu wa Afrika Mashariki na Ulimwengu wa Kiswahili kwa kuondokewa na Sheikh Abdillahi Nassir, aliyekuwa mwanazuoni nguli wa Taaluma za Kiislamu na lugha yetu aushi ya Kiswahili.
Habari ID: 3474921    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/12

TEHRAN (IQNA)- Khitma ya Marehemu Hajj Sheikh Abdullahi Nassir Juma Bhalo, mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu na kiongozi wa kimaanawi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia Afrika Mashariki imefanyika katika Msikiti wa Imam Ja'far Sadiq AS katika Chuo Kikuu cha Al-Bayt AS katika mji mtakatifu wa Qum.
Habari ID: 3474817    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/17

Inna Lillah wa Ina Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Abdillahi Nassir Juma Bhalo, msomi maarufu wa Kiislamu barani Afrika na hasa Afrika Mashariki ameaga dunia mapema leo Mombasa, Kenya.
Habari ID: 3474792    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/11

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Kenya imeazimia kushirikiana na misikiti pamoja na makanisa nchini humo ili kuongeza idadi ya wale wanaodungwa chanjo ya COVID-19 nchini humo.
Habari ID: 3474765    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

TEHRAN (IQNA)- Katika miezi ya hivi karibuni kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la kutoweka na kuuawa Waislamu nchini Kenya na sasa viongozi wa Kiislamu nchini humo wanataka serikali itoe majibu.
Habari ID: 3474569    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17

TEHRAN (IQNA)- Lugha ya Kalenjin nchini Kenya inakadiriwa kuwa na wazungumzaji milioni 6.3 na sasa jamii hiyo kubwa kwa mara ya kwanza imepata Qur'ani Tukufu iliyotarjumiwa kwa lugha yao.
Habari ID: 3474557    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/14

TEHRAN (IQNA)- -Maelfu ya watu kutoka kote duniani wamehudhuria sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad SAW ambazo zimefanyika katika Kisiwa cha Lamu eneo la Pwani ya Kenya.
Habari ID: 3474508    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

Mnamo 14 Dhul Hija 1442 Hijria Qamaria sawa na 25 Julai 2021, Waislamu wa Afrika Mashariki na maeneo mengine duniani walikumbwa na majonzi kufuatia kuaga dunia mwanazuoni mtajika wa Kiislamu na mfasiri wa Qur’ani Tukufu Alhaj Sheikh Hassan Mwalupa.
Habari ID: 3474408    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/10

TEHRAN (IQNA)- Sherehe ya kukumbuka kuzaliwa Imam Ridha AS imefanyika nchini Kenya katika Kituo cha Kiislamu cha Jaafari mjini Nairobi kwa himaya ya Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Kenya.
Habari ID: 3474032    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/22

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa Kenya wamebainisha malalamiko yao baada ya kubainika kuwa hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija mwaka huu baada ya Saudi Arabia kutangaza kupiga marufuku Mahujaji kutoka nje ya ufalme huo.
Habari ID: 3474030    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/22