Rouhani asema OIC ina jukumu la kuzuia mauaji ya Waislamu duniani

IQNA

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuzuia unyanyasaji na mauaji ya Waislamu duniani ndio jukumu kuu la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC).
Habari ID: 1371831    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/07