iqna

IQNA

Mufti Mkuu wa Misri Shawki Allam ameipunguza kuwa kifungo cha maisha jela hukumu ya adhabu ya kifo iliyotolewa na mahakama kwa Mohamed Badie, kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin.
Habari ID: 1445550    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/01