IQNA

Qiraa ya Qur'ani Tukufu

Qari maarufu wa Iran akisoma ya za Qur'ani Tukufu Surah Al-Ahzab + Klipu

IQNA – Qari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Seyed Parsa Angoshtan katika klipu hii anasoma aya za 21-24 za Surah Al-Ahzab.

Ifuatayo ni tafsiri za aya hizo

21.Hakika nyinyi mnayo ruwaza njema kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa anaye mtaraji Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na akamkumbuka Mwenyezi Mungu sana. 

22. Na Waumini walipo yaona makundi, walisema: Haya ndiyo aliyo tuahidi Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu na Mtume wake wamesema kweli. Na hayo hayakuwazidisha ila Imani na ut'iifu. 

23. Miongoni mwa Waumini wapo watu walio timiza waliyo ahidiana na Mwenyezi Mungu. Baadhi yao wamekwisha kufa, na baadhi wanangojea, wala hawakubadilisha (ahadi) hata kidogo. 

24. Ili Mwenyezi Mungu awalipe wakweli

Kishikizo: qiraa ya qurani