IQNA

Vyuo Vikuu vya Marekani ni Sehemu ya Vyuo Mrengo wa Muqawama

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amebainisha kuwa maandamano yanayoongozwa na wanafunzi wa vyuo vikuu vya Marekani katika kuunga mkono Palestina nni yamegeuza vyuo vikuu hivyo kuwa tawi la mrengo wa Muqawama (mapambano)

Wapendwa wanachuo vijana wa Marekani! Huu ni ujumbe wetu wa mfungamano na mshikamano na nyinyi. Nyinyi hivi sasa mumesimama upande sahihi wa historia - ambayo kurasa zake zinaendelea kufunguka.Sasa mmeunda sehemu ya mrengo wa Muqawama, alisema Ayatullah Khamenei katika barua ya Mei 25, 2024, akiwahutubia wanafunzi wa vyuo vikuu Marekani.

US Universities A Branch of Resistance Front

Kishikizo: ayatullah khamenei ، barua ، marekani
Habari zinazohusiana