marekani

IQNA

IQNA-Mwandishi wa habari raia wa Uingereza anayejulikana kwa kuunga mkono Palestina amekamatwa nchini Marekani na shirika la Uhamiaji na Forodha (ICE), kufuatia shinikizo kutoka kwa makundi yanayoiunga mkono Israel.
Habari ID: 3481430    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/28

IQNA – Watawala wa Marekani wanaficha na kuziba hofu yao dhidi ya vuguvugu la wananchi nchini humo, amesema Mkuu wa Taasisi ya Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO).
Habari ID: 3481422    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/27

IQNA – Jumuiya ya Waislamu wa jiji la Winnipeg, mji mkuu wa jimbo la Manitoba nchini Kanada (Canada), walikusanyika mwishoni mwa wiki hii kusherehekea ufunguzi rasmi wa msikiti mpya katika jiji hilo.
Habari ID: 3481392    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/21

IQNA-Katika mji wa Mason, jimbo la Ohio nchini Marekani, kuna shule inayojulikana kama ICM Learning Academy ambayo hufundisha wanafunzi si tu kusoma Qur’ani Tukufu bali pia kuifahamu na kuikumbuka kwa moyo wote.
Habari ID: 3481384    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/19

IQNA – Viongozi wa jamii ya Kiislamu mjini Minneapolis wanatoa wito wa uchunguzi wa kina kuhusu iwapo tukio la uvunjaji wa hivi karibuni katika Kituo cha Kiislamu cha Alhikmah linahusiana na tukio la moto lililotokea siku chache kabla katika msikiti huo huo.
Habari ID: 3481343    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/08

IQNA – Tukio la moto katika Msikiti wa Kituo cha Kiislamu Alhikma, ulioko Mtaa wa 32 kusini mwa Minneapolis, limezua wasiwasi mkubwa miongoni mwa viongozi wa Kiislamu, ambao sasa wanatoa wito wa uchunguzi wa kina, licha ya mamlaka za zimamoto kusema kuwa tukio hilo lilikuwa la bahati mbaya.
Habari ID: 3481310    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/01

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya anga ya “kikatili” yaliyofanywa na Marekani na Israel mwezi Juni katika ardhi ya Iran na kusema yalikuwa usaliti kwa diplomasia.
Habari ID: 3481282    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/25

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amepinga ombi la Washington la mazungumzo ya nyuklia na kusema kwamba hakuna taifa lolote huru na lenye heshima linaloweza kukubali mazungumzo chini ya mashinikizo.
Habari ID: 3481281    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA – Wakazi wa Plainfield, jimbo la Illinois, walikusanyika Jumapili kuadhimisha siku maalum ya kumkumbuka Wadee Alfayoumi, mtoto wa miaka sita mwenye asili ya Kipalestina na M marekani aliyeuawa katika tukio la chuki takriban miaka miwili iliyopita.
Habari ID: 3481266    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22

IQNA – Mjumbe wa chama cha Democratic katika Bunge la Marekani, Bi Ilhan Omar, amesisitiza utambulisho wake wa Kiislamu, akisema anajivunia kuwa Mwislamu.
Habari ID: 3481264    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/21

IQNA – Polisi wa McKinney, Texas, walifika wiki hii katika eneo la tukio la uhalifu lililotokea katika kituo cha elimu ya Kiislamu ambacho kikundi cha kutetea Waislamu kimekitaja kuwa ni unyanyasaji wa chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481259    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/20

IQNA – Hujjatul-Islam Ali Taghizadeh, mkuu wa Taasisi ya Dar-ul-Quran ya Iran, amelaani vikali kitendo cha kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu kilichofanywa na mgombea wa bunge la Marekani, Valentina Gomez, akikitaja kama “uhalifu wa kuchukiza” unaofichua sura halisi ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481155    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/29

IQNA – Kituo cha Al-Azhar cha Kupambana na Misimamo Mikali kimekemea vikali kitendo cha hivi karibuni cha kuchoma nakala ya Qur'ani kilichofanywa na mwanasiasa mmoja wa Marekani.
Habari ID: 3481147    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/28

IQNA – Mkutano wa 62 wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini (ISNA) utaanza huko Rosemont, jimbo la Illinois, Marekani, Ijumaa hii.
Habari ID: 3481144    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27

IQNA – Kitendo cha kuivunjia heshima na kuteketeza moto nakala ya Qur’an ambacho kimetekelezwa mgombea wa kiti katika Bunge la Kongresila Marekani kwa tiketi ya chama cha kihafidhina cha Republican huko Texas, ambaye ni mfuasi wa Rais wa Marekani Donald Trump, kimeibua hasira kubwa.
Habari ID: 3481142    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa hili liwe tiifu kwake, lakini wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu watapambana vikali na “tusi hilo kubwa”.
Habari ID: 3481130    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA – Huko Cedar Rapids, Iowa, msikiti wa mkongwe zaidi nchini Marekani, ambao ni jengo dogo jeupe la mbao, ni ushahidi wa kimya wa historia ndefu ya Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3481128    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA-Maandamano ya watu karibu milioni moja yamefanyika huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, jana Ijumaa katika kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na kulaani uchokozi wa jeshi la Israel huko Gaza na Yemen.
Habari ID: 3480968    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/19

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) limeitaka kampuni ya uwekezaji ya Sequoia Capital kumwondoa mshirika wake Shaun Maguire, kufuatia chapisho la mitandao ya kijamii lililokosolewa vikali kwa kuendeleza chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3480934    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12

IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu nchini Iran amekosoa mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu na kusema “hauna msingi na hauna maana,” akibainisha kuwa mtazamo wao ni wa maslahi binafsi tu.
Habari ID: 3480885    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/02