IQNA – Msomaji mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Iraq amelaani vikali misimamo ya hivi karibuni ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al Afasi, inayounga mkono dhulma ya Wa marekani na Wazayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3482190 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/02
IQNA-Wazazi Waislamu nchini Marekani sasa wanatilia mkazo zaidi suala la kuhifadhi Qur’an, jambo linalojulikana kama Hifdh.
Habari ID: 3482186 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/01
IQNA-Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametangaza mwanzo wa “sura mpya” kwa Mlango Bahari wa Hormuz, njia ya kimkakati ya baharini.
Habari ID: 3482185 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/01
IQNA – Mtaalamu wa Qur’ani Tukufu kutoka Lebanon amekosoa misimamo ya qari mmoja kutoka Kuwait akisema kuwa haina uhusiano na mafundisho ya Qur’ani.
Habari ID: 3482177 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/29
IQNA – Akikosoa kwa ukali misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid al‑Afasi, katika kuhalalisha mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen ametoa wito wa kususiwa kwa al‑Afasi.
Habari ID: 3482173 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28
IQNA – Katika barua mpya aliyoandika kwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Leo wa Kumi na Nne, Mkuu wa Kitengo cha Masomo ya Kiislamu katika Akademia ya Sayansi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa shukrani kwa msimamo wake wa haki katika kukataa mienendo ya ukatili.
Habari ID: 3482172 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28
IQNA – Visa vya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na mashambulizi dhidi ya Waislamu wa Marekani na taasisi zao vimeongezeka mara kumi na moja (1,000%) katika miezi mitatu ya kwanza ya mwaka 2026, na kufikia kiwango cha juu zaidi katika kipindi cha miezi 15, kwa mujibu wa ripoti mpya ya Kamati ya Masuala ya Umma ya Waislamu (Mpac).
Habari ID: 3482147 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/17
IQNA-Rais wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kusimama upande wa amani, utulivu na mahusiano ya kindugu katika eneo, akibainisha kwamba usalama wa eneo unapaswa kuhakikishwa na mataifa ya eneo hilo yenyewe.
Habari ID: 3482145 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/17
IQNA – Kama ilivyo kwa baadhi ya mataifa mengine katika eneo la Asia Magharibi, wananchi wa Iraq wamejitokeza kusherehekea kile walichokitaja kuwa ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3482128 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08
IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa limetoa taarifa kuhusu ushindi wa kihistoria wa Iran katika vita vya tatu vilivyolazimishwa dhidi yake, pamoja na kukubaliwa kwa masharti ya Iran na upande wa adui.
Habari ID: 3482126 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08
IQNA-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua ndege ya pili ya kisasa ya Marekani aina ya F-35 ikiwa katika anga katikati ya Iran kwa kutumia mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Kikosi cha Anga cha jeshi hilo.
Habari ID: 3482114 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/03
IQNA-Rais wa Iran, amehoji katika ujumbe aliouelekeza kwa wananchi wa Marekani kwamba: Vita vinavyoendelea sasa vinanufaisha vipi maslahi halisi ya watu wa Marekani? Amesisitiza kuwa mashambulio dhidi ya miundombinu muhimu ya Iran, ikiwemo vituo vya nishati na viwanda, ni hatua inayolenga moja kwa moja kuvuruga maisha ya watu wa Iran.
Habari ID: 3482113 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/02
IQNA – Kitendo cha mtu mmoja kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu katika msikiti mmoja huko Brooklyn, Marekani kimezua lawama kali, huku polisi wa New York (NYPD) wakichunguza tukio hilo kama uhalifu wa chuki.
Habari ID: 3482105 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/30
IQNA-Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limelaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya Shule ya Shajareh Tayyebeh katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ambapo angalau wanafunzi na wafanyakazi wa shule 175 waliuawa katika mauaji ya kikatili tarehe 28 Februari.
Habari ID: 3482097 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28
IQNA-Jeshi la Yemen limetangaza kuwa liko tayari kuingilia moja kwa moja kijeshi iwapo pande nyingine zitaungana na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mhimili wa Muqawama.
Habari ID: 3482096 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28
IQNA-Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyotekelezwa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu ,” ya jinai ya kivita unaofanywa na muungano huo wa kijeshi wa tawala hizo mbili.
Habari ID: 3482095 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28
Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/4
IQNA-Katika matukio ya hivi karibuni, mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kulikuwepo njia mbili: vita au mazungumzo. Watu wengi kwa kawaida walipendelea mazungumzo. Hata hivyo, kwa nini hatima ya nchi ikaishia kwenye vita?
Habari ID: 3482033 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/09
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu vitisho vya mara kwa mara vya kijeshi kutoka Marekani dhidi ya Iran, akisema kuwa silaha zenye uwezo wa kuzamisha manowari za Marekani ni “hatari zaidi” kuliko meli hizo za kivita zenyewe.
Habari ID: 3481951 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/17
IQNA-Kiongozi wa harakati ya Muqawama (mapambano ya Kiislamu) ya Ansarullah nchini Yemen amesema kuwa Marekani na Utawala wa Israel zinakabiliana na Iran kwa sababu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasimama kama kizuizi dhidi ya mradi wao mpana wa kutawala eneo la Asia Magharibi au Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3481932 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/14
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameonya kwamba, vita vyovyote vitakavyoanzishwa na Marekani dhidi ya Iran vitageuka na kuwa vita vya kikanda.
Habari ID: 3481877 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/01