IQNA – Viongozi wa jamii ya Kiislamu mjini Minneapolis wanatoa wito wa uchunguzi wa kina kuhusu iwapo tukio la uvunjaji wa hivi karibuni katika Kituo cha Kiislamu cha Alhikmah linahusiana na tukio la moto lililotokea siku chache kabla katika msikiti huo huo.
Habari ID: 3481343 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/08
IQNA – Tukio la moto katika Msikiti wa Kituo cha Kiislamu Alhikma, ulioko Mtaa wa 32 kusini mwa Minneapolis, limezua wasiwasi mkubwa miongoni mwa viongozi wa Kiislamu, ambao sasa wanatoa wito wa uchunguzi wa kina, licha ya mamlaka za zimamoto kusema kuwa tukio hilo lilikuwa la bahati mbaya.
Habari ID: 3481310 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/01
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya anga ya “kikatili” yaliyofanywa na Marekani na Israel mwezi Juni katika ardhi ya Iran na kusema yalikuwa usaliti kwa diplomasia.
Habari ID: 3481282 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/25
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amepinga ombi la Washington la mazungumzo ya nyuklia na kusema kwamba hakuna taifa lolote huru na lenye heshima linaloweza kukubali mazungumzo chini ya mashinikizo.
Habari ID: 3481281 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24
IQNA – Wakazi wa Plainfield, jimbo la Illinois, walikusanyika Jumapili kuadhimisha siku maalum ya kumkumbuka Wadee Alfayoumi, mtoto wa miaka sita mwenye asili ya Kipalestina na M marekani aliyeuawa katika tukio la chuki takriban miaka miwili iliyopita.
Habari ID: 3481266 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22
IQNA – Mjumbe wa chama cha Democratic katika Bunge la Marekani, Bi Ilhan Omar, amesisitiza utambulisho wake wa Kiislamu, akisema anajivunia kuwa Mwislamu.
Habari ID: 3481264 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/21
IQNA – Polisi wa McKinney, Texas, walifika wiki hii katika eneo la tukio la uhalifu lililotokea katika kituo cha elimu ya Kiislamu ambacho kikundi cha kutetea Waislamu kimekitaja kuwa ni unyanyasaji wa chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481259 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/20
IQNA – Hujjatul-Islam Ali Taghizadeh, mkuu wa Taasisi ya Dar-ul-Quran ya Iran, amelaani vikali kitendo cha kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu kilichofanywa na mgombea wa bunge la Marekani, Valentina Gomez, akikitaja kama “uhalifu wa kuchukiza” unaofichua sura halisi ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481155 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/29
IQNA – Kituo cha Al-Azhar cha Kupambana na Misimamo Mikali kimekemea vikali kitendo cha hivi karibuni cha kuchoma nakala ya Qur'ani kilichofanywa na mwanasiasa mmoja wa Marekani.
Habari ID: 3481147 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/28
IQNA – Mkutano wa 62 wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini (ISNA) utaanza huko Rosemont, jimbo la Illinois, Marekani, Ijumaa hii.
Habari ID: 3481144 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27
IQNA – Kitendo cha kuivunjia heshima na kuteketeza moto nakala ya Qur’an ambacho kimetekelezwa mgombea wa kiti katika Bunge la Kongresila Marekani kwa tiketi ya chama cha kihafidhina cha Republican huko Texas, ambaye ni mfuasi wa Rais wa Marekani Donald Trump, kimeibua hasira kubwa.
Habari ID: 3481142 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa hili liwe tiifu kwake, lakini wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu watapambana vikali na “tusi hilo kubwa”.
Habari ID: 3481130 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24
IQNA – Huko Cedar Rapids, Iowa, msikiti wa mkongwe zaidi nchini Marekani, ambao ni jengo dogo jeupe la mbao, ni ushahidi wa kimya wa historia ndefu ya Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3481128 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24
IQNA-Maandamano ya watu karibu milioni moja yamefanyika huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, jana Ijumaa katika kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na kulaani uchokozi wa jeshi la Israel huko Gaza na Yemen.
Habari ID: 3480968 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/19
IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) limeitaka kampuni ya uwekezaji ya Sequoia Capital kumwondoa mshirika wake Shaun Maguire, kufuatia chapisho la mitandao ya kijamii lililokosolewa vikali kwa kuendeleza chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3480934 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu nchini Iran amekosoa mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu na kusema “hauna msingi na hauna maana,” akibainisha kuwa mtazamo wao ni wa maslahi binafsi tu.
Habari ID: 3480885 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/02
IQNA – Mwanamke wawili Waislamu nchini Marekani wamewasilisha kesi dhidi ya Kaunti ya Orange na idara yake ya sheriff, wakidai kuwa maafisa walilazimisha kuondolewa kwa hijabu zao wakati wa kuwatia mbaroni katika maandamano ya mwaka 2024 huko UC Irvine.
Habari ID: 3480883 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/02
IQNA – Wakazi wa Plainfield, Illinois, nchini Marekani walikusanyika Jumamosi kufungua mnara wa kumbukumbu kuenzi maisha ya Wadea Al-Fayoume, mtoto Mpalestina-M marekani wa miaka sita aliyekuwa miongoni mwa waliouawa kwa ukatili wa chuki mwaka 2023.
Habari ID: 3480876 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/30
IQNA – Wabunge wote Waislamu wa Bunge la Marekani wametoa taarifa ya pamoja kulaani mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu yaliyomlenga Zohran Mamdani, mgombea wa Umeya wa Jiji la New York, ambayo yametokea kutoka kwa wanasiasa wa chama tawala cha Warepublican na hata baadhi ya Wademocrat.
Habari ID: 3480866 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28
IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu na Marekani (CAIR) limemtaja mbunge katika Bunge la Marekani Randy Fine (R-FL) kuwa “mwenye msimamo mkali wa chuki dhidi ya Waislamu”, likimjumuisha katika orodha yake ya watu wenye chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), kutokana na kile ilichokiita rekodi ya muda mrefu ya matamshi ya uchochezi dhidi ya Waislamu na Wapalestina.
Habari ID: 3480821 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/11