IQNA – Mashirika na taasisi mbalimbali za Kiyemeni yamelaani kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilisha Qur’an Tukufu nchini Marekani, na yameunga mkono mwito wa kiongozi wa Ansarullah (Houthi) wa kufanya maandamano ya kulaani kitendo hicho cha kufuru.
Habari ID: 3481683 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/19
IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani kwa kauli kali na nzito kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilishwa kwa Qur'ani Tukufu kilichotokea katika jimbo la Texas, nchini Marekani.
Habari ID: 3481679 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/19
IQNA – Kitendo cha kudhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kilichotokea mjini Plano, jimbo la Texas, Marekani, kimezua hasira kubwa miongoni mwa wananchi na mashirika ya haki za binadamu.
Habari ID: 3481659 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14
IQNA – Katika jiji la Dearborn, Michigan, kuna taasisi ya Kishia iliyodumu kwa miaka mingi, ikifanya kazi kimya kimya bila makuu, lakini ikiwa na athari kubwa katika jamii.
Habari ID: 3481658 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14
IQNA-Jamii ya wakazi na majirani wa jiji la Norfolk, jimbo la Virginia nchini Marekani, wamejitokeza kwa wingi kusafisha na kurejesha hadhi ya Msikiti wa Masjid Ash Shura baada ya kuchafuliwa kwa maandishi ya chuki, huku polisi wakiomba msaada wa umma kumtambua mtuhumiwa.
Habari ID: 3481650 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12
IQNA – Jukwaa la kimataifa litakalojadili mkutano wa hivi karibuni wa tafiti za Qur’ani uliofanyika Los Angeles litafanyika mtandaoni leo na Jumamosi ijayo kupitia jukwaa la Zoom.
Habari ID: 3481626 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07
IQNA – Jeshi la Polisi wa Kaunti ya Richland limethibitisha kukamatwa kwa mwanamume aliyeingia msikiti mmoja wa South Carolina, Marekani, wakati wa sala huku akiwa na bunduki aina ya AR-15.
Habari ID: 3481552 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/22
IQNA – Wanafunzi Waislamu katika Chuo Kikuu cha Florida Kusini (USF) nchini Marekani wamesema wanaume watatu walivuruga mkusanyiko wao wa sala ya alfajiri na kuwatendea unyanyasaji.
Habari ID: 3481550 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/21
IQNA – Waandamanaji waligongana mitaani Dearborn Jumanne baada ya wanaharakati wa mrengo wa kulia kuwachokoza wakazi kwa kauli za chuki dhidi ya Uislamu na wahamiaji, na kujaribu kudhalilisha Qur'ani Tukufu. Tukio hilo lilisababisha msuguano mdogo na polisi kuingilia kati kwa nguvu ili kuwatenganisha makundi hayo.
Habari ID: 3481539 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/19
IQNA – Baada ya tukio la uhalifu wa chuki lililoripotiwa ambapo dada Muislamu alivamiwa na kufuatwa karibu na Chuo Kikuu cha Columbia kwa sababu ya kuvaa niqab, taasisi hiyo imetoa tamko la kulaani shambulio hilo hadharani.
Habari ID: 3481522 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/16
IQNA – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amejibu ripoti ya gazeti la New York Times kuhusu kufukuzwa kwa baadhi ya majenerali wa Marekani kwa kunukuu aya ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481502 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/11
IQNA – Chuo Kikuu cha Houston kilichopo jimbo la Texas, Marekani, kimetangaza kuwa kinachunguza tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur'an Tukufu wakati wa mkusanyiko wa wanafunzi Waislamu.
Habari ID: 3481472 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/05
IQNA-Maandamano ya Siku ya Mwenyezi Mwenyezi Mungu yaani Aban 13 ambayo ni Siku ya Taifa ya Iran ya Kupambana na ubeberu na uistikbari yamefanyika hapa mjini Tehran na katika zaidi ya miji 900 kote humu nchini.
Habari ID: 3481465 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/04
IQNA-Mwandishi wa habari raia wa Uingereza anayejulikana kwa kuunga mkono Palestina amekamatwa nchini Marekani na shirika la Uhamiaji na Forodha (ICE), kufuatia shinikizo kutoka kwa makundi yanayoiunga mkono Israel.
Habari ID: 3481430 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/28
IQNA – Watawala wa Marekani wanaficha na kuziba hofu yao dhidi ya vuguvugu la wananchi nchini humo, amesema Mkuu wa Taasisi ya Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO).
Habari ID: 3481422 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/27
IQNA – Jumuiya ya Waislamu wa jiji la Winnipeg, mji mkuu wa jimbo la Manitoba nchini Kanada (Canada), walikusanyika mwishoni mwa wiki hii kusherehekea ufunguzi rasmi wa msikiti mpya katika jiji hilo.
Habari ID: 3481392 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/21
IQNA-Katika mji wa Mason, jimbo la Ohio nchini Marekani, kuna shule inayojulikana kama ICM Learning Academy ambayo hufundisha wanafunzi si tu kusoma Qur’ani Tukufu bali pia kuifahamu na kuikumbuka kwa moyo wote.
Habari ID: 3481384 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/19
IQNA – Viongozi wa jamii ya Kiislamu mjini Minneapolis wanatoa wito wa uchunguzi wa kina kuhusu iwapo tukio la uvunjaji wa hivi karibuni katika Kituo cha Kiislamu cha Alhikmah linahusiana na tukio la moto lililotokea siku chache kabla katika msikiti huo huo.
Habari ID: 3481343 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/08
IQNA – Tukio la moto katika Msikiti wa Kituo cha Kiislamu Alhikma, ulioko Mtaa wa 32 kusini mwa Minneapolis, limezua wasiwasi mkubwa miongoni mwa viongozi wa Kiislamu, ambao sasa wanatoa wito wa uchunguzi wa kina, licha ya mamlaka za zimamoto kusema kuwa tukio hilo lilikuwa la bahati mbaya.
Habari ID: 3481310 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/01
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya anga ya “kikatili” yaliyofanywa na Marekani na Israel mwezi Juni katika ardhi ya Iran na kusema yalikuwa usaliti kwa diplomasia.
Habari ID: 3481282 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/25