IQNA

Kikao cha tatu cha 'Muujiza wa Kileimu wa Qur'ani na Sunna za Mtume (saw) chafanyika Jordan

12:12 - April 16, 2011
Habari ID: 2106282
Kikao cha tatu cha 'Muujiza wa Kielimu wa Qur'ani na Sunna za Mtume (saw)' ambacho kiliandaliwa na Idara ya Elimu na Malezi ya mji wa Arbad nchini Jordan kilifanyika hapo siku ya Alkhamisi.
Watu waliohutubu kwenye kikao hicho walibainisha pande tofauti za muujiza wa kielimu na sunna za Mtume (saw) na kusisitiza udharura wa kufundishwa kizazi cha vijana umuhimu na jambo hilo. Baadhi ya wanafunzi na watafiriti waliohudhuria kikao hicho waliwasilisha utafiti na uchunguzi wao mbalimbali kuhusiana na muujiza wa kielimu na Sunna za Mtume (saw) ambapo walishiriki walinufaika nao. 774451
captcha