Hayo yamesemwa na Mkuu wa Utafiti katika Taasisi ya Darul Qur’an nchini Iran Bw. Dawud Takfallah ambaye amesema vituo 6 vya kwanza vitazinduliwa katika kipindi cha miezi mitatu ijayo.
Amesema vituo hivyo vitasimamiwa na wanazuoni mashuhuri wa Qur'ani katika kila mkoa.
Bw. Takfallah amesema Taasisi ya Darul Qur'an itabuni kitengo cha kutafuta wenye vipawa vya Qur’ani na kuwapa mafunzo baada ya hapo.
799717