Kipindi hicho kitashughulikia masuala ya Qur'ani ya Kituo cha kidini cha Darul Imam cha mji wa Algiers.
Kazi ya kutayarisha kipindi hicho itaanza tarehe 20 Juni na wanafunzi zaidi ya 50 kutoka maeneo yote ya Algeria watashiriki katika shughuli hiyo na kuchuana katika kiraa ya Qur'ani.
Washindi 12 wa kwanza wa watachaguliwa na kupelekwa katika kituo maalumu ambapo watapata mafunzo ya dini na Qur'ani. 809343