IQNA

Maombolezo ya Imam Hussein AS katika Madrassah ya Al Batoul, Tanzania

Hafla ya maombolezo ya Imam Hussein AS, ilifanyika tarehe 7 Muharram (9 Oktoba) katika Madrassah ya Al Batoul katika mji wa Dar es Salaam, Tanzania kwa ushirikiano wa Mwambata wa Utamaduni wa Iran nchini humo.
Madrassah ya Al Batoul inafungamana na Taasisi ya Al Zahra (SA) nchini Tanzania ambayo inasimamiwa na wanawake Watanzania ambao walihitimu katika vyuo vya kidini nchini Iran.

Maombolezo ya Imam Hussein AS katika Madrassah ya Al Batoul, Tanzania