Kuusindikiza Mwili Mtukufu wa Kiongozi Shahidi katika mji mtakatifu wa Mashhad
IQNA-Hafla ya mapokezi na mazishi ya mwili mtukufu wa Kiongozi Shahid wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Husayni Khamenei, pamoja na mashahidi wa familia yake, ilifanyika siku ya Alhamisi, tarehe 9 Julai kuanzia Mtaa wa Imam Ridha (AS) kuelekea Haram Tukufu ya Ridha (AS) mjini humo.
copied
https://iqna.ir/H0Ebwq