TEHRAN (IQNA)- Santa Claus (Baba Krismasi) ni nembo mashuhuri katika utamaduni wa Krismasi katika nchi za Ulaya na Marekani na nchi zingine zenye wakristo wengi.
Baba Krismasi ni mtu wa kufikirika anayedhaniwa kuleta zawadi hasa kwa watoto wema mkesha wa Krismasi au usiku wa Noeli.