IQNA

Siku ya Kwanza ya Mashindano ya 39 Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran

TEHRAN (IQNA) - Siku ya kwanza ya fainali ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilifanyika Jumapili mjini Tehran katika kategoria za wanaume na wanawake.