IQNA

Sherehe za Milad un Nabii jijini Tehran, Iran

IQNA - Maelfu ya watu walikusanyika katika mji mkuu wa Iran wa Tehran katikaviwanja viwili kuu mnamo Septemba 20, 2024, kuadhimisha Milad un Nabii, yaani kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW).