iqna

IQNA

Qurani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waislamu nchini Serbia walipokea kwa furaha qari na mhifadhi wa Qur’an kutoka Iran Mahmoud Noruzi Farahani nchini humo.
Habari ID: 3476882    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17