Iran yalaani vikali mlipuko wa Beirut, Lebanon

IQNA

Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mripuko wa kigaidi uliotokea huko Beirut mji mkuu wa Lebanon.
Habari ID: 1348030    Tarehe ya kuchapishwa : 2013/12/29