iqna

IQNA

Waislamu nchini Ethiopia wamelaani uamuzi wa mahakama moja ya nchi hiyo ya kuwafunga jela miaka 22 wanaharakati 18 wa Kiislamu kwa tuhuma eti za ugaidi.
Habari ID: 3339480    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/05