iqna

IQNA

Hujaji Mnigeria ametunukiwa zawadi baada ya kurejesha takribani US$ 2,345 alizozipata katika mfuko wa Muafghani uliokuwa ummeanguka Katika Masjidul Haram mjini Makka.
Habari ID: 3379333    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/04