Tovuti ya 'Ama' imetangaza kuwa mnada huo unajumuisha sehemu mbili kuu za kazi za sanaa ya Mashariki na athari za Kiislamu.
Sehemu muhimu zaidi ya mnada huo ni ile itakayouza kurasa zenye thamani kubwa za Qur'ani Tukufu zilizoandikwa kwa hati za Kufi. Kurasa hizo ziliandikwa katika karne ya 10. Kurasa hizo zinakadiriwa kuwa zina thamani ya kati ya yuro elfu 18 hadi 25. 928977