Akizungumzia suala hilo Yahya Gulsun, mkuu wa wakala huo tawi la Tirana mji mkuu wa Albania amesema kwamba misikiti hiyo ya kihistoria haipaswi kutazamwa kama turathi za kiutamaduni za nchi hiyo tu bali kama urithi wa kiutamaduni wa wanadamu wote duniani. Ameelezea matumaini kwamba misikiti mingine ya kale inayohitajia ukarabati pia itaongezwa kwewnye orodha ya misikiti ya kihistoria inayopaswa kukarabatiwa. 1022828